Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Kwa maelezo hayo basi maiti hiyo haikufichwa ingekua ilifichwa hata hao ndugu wasingeiona maiti yake ilihifadhiwa tu, ila kama ndugu wana uhakika kuwa ameuwawa na polisi wanatakiwa waende tume ya haki za binadam na utawala bora wanaweza kupata msaada