Na kweli JPM alikuwa muuaji mkubwa sana. Ameuda watu maelfu kwa maelfu. Hadi alipokufa, watu aliwaua hawana idadi. Tazama jinsi alivyomkosakosa Tundu Lissu amemuachia vyuma mwili mzima. Ndio maana Mungu aliamua kumchukua na kumuacha Tundu Lissu akiendelea kuishi. Mungu hadhihakiwi.