Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mbaya jamii inataka kulifanya swala la cheating kama jambo jepesi sana. Eti ukiona hamuelewani si umuache kwani lazma muumizane kwa vipigo? 😂😂😂....Wewe imagine mke anakucheat wakati unampiga mashine vizuri anakojoa ,mnakula na kunywa wote huku mnacheka ,mna watoto wazuri pamoja ,umempaa gari la kumsaidia mizunguko yake ,umewahi kumsamehe makosa makubwa makubwa nk nk- yaani kwa kifupi she cheated you at the best moment of your life.
RIP my friend Cosma
Gender equality haina technique za kusolve misunderstandings zinazotokea kwenye relationships as long as relationships zipo nyingi kuanzia family, business, works n others.. then huku juu wafundishwe ni namna gani wakontro emotions za mapenz.Haitasaidia litakuwa somo kama Gender ambalo ndani yake Kuna gender equality
Aisee kumbe mwanamke aligawa njee wakati jamaa anampa kila kitu mpaka garii...!! Sema alichukua maamuzi magumu sanaa angeachana nae tuu mkuu.. Nimeona picha moja amepiga anapata kilajii..Wewe imagine mke anakucheat wakati unampiga mashine vizuri anakojoa ,mnakula na kunywa wote huku mnacheka ,mna watoto wazuri pamoja ,umempaa gari la kumsaidia mizunguko yake ,umewahi kumsamehe makosa makubwa makubwa nk nk- yaani kwa kifupi she cheated you at the best moment of your life.
RIP my friend Cosma
Kuna baadhi misemo ya wahenga tunashinda kuifuata mfano "fahari wawili hawawezi kukaa zizi moja" huo msema sio rahisi kugundua ila una maana Pana.Tusubir tu kupigwa kama Kenya wanaume wanavyotandikwa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ila Extrovert vitu vinatafutwa mkuu lakini hakuna duka la uhai..Halafu mbaya jamii inataka kulifanya swala la cheating kama jambo jepesi sana. Eti ukiona hamuelewani si umuache kwani lazma muumizane kwa vipigo? [emoji23][emoji23][emoji23]....
With all the investment ya kujitoa muda wako pamoja pesa toka unajipanga na harusi hadi kujenga na kumpa privileges zote za kutumia mali zako.
Mapenzi ni involuntary ni hatar sana hisia mbaya unaweza kuingia sehemu mbaya huwezi kujizuiaGender equality haina technique za kusolve misunderstandings zinazotokea kwenye relationships as long as relationships zipo nyingi kuanzia family, business, works n others.. then huku juu wafundishwe ni namna gani wakontro emotions za mapenz.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wewe@rick boy ukute na uzi wako wa kimasihara unachangia baadhi ya haya mauaji[emoji1787][emoji1787]Aisee kumbe mwanamke aligawa njee wakati jamaa anampa kila kitu mpaka garii...!! Sema alichukua maamuzi magumu sanaa angeachana nae tuu mkuu.. Nimeona picha moja amepiga anapata kilajii..
Ikiwa ni hivyo tafiti zifanywe na watu waziandike ili pawe na tafiti sahihi zitakazotoa mwanga kwa jamii ya kiumeKuna baadhi misemo ya wahenga tunashinda kuifuata mfano "fahari wawili hawawezi kukaa zizi moja" huo msema sio rahisi kugundua ila una maana Pana.
Nina maana gani watu walio level sawa hawawezi kukaa pamoja hta siku moja patakuwa na mtatizo ya hapa na pale tu!! Ndo at national level lazima pawe na kiongozi mmoja as the president mtu mweny mamlaka ya juu...katik level za wabunge wako level sawa si unaona wanavyobishana sometimes mpaka baadhi ya mabungu wanapigana kwamba wako level sawa.
Nakuja kweny mada huwezi kuoa mwanamke mko level sawa ya elimu akakusikliza au mna kipato kimoja ana kuchukulia easy .Dharau nyodo we asubuhi unaenda kazini na yeye anaenda hamna tofauti ni wachache wanaweza kumaintain heshima kwa wenza wao.
Niamini mmi hili ndo Mauna hamna Chochote nimefanya tafiti ,palikuwa na poll kule twitter mdada mmoja aliweka ni hao feminist sababu kubwa ilikuwa ni usawaIkiwa ni hivyo tafiti zifanywe na watu waziandike ili pawe na tafiti sahihi zitakazotoa mwanga kwa jamii ya kiume
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Itafahamika tu
Sasa hii ndio point yenyewe.Maadili yakazaniwe kwenye jamii,ukiangalia mauajia mengi,msingi wake ni uchepukaji.Tunaoa na wadada wanaolewa na watu ambao ufanyaji ngono umeanza kitambo,hivyo utuliaji wa wenza ndani ya nyumba,inakua shida.
Exactly mkuu Phil Houston watu wamekalia kujiita wasomi ila haya mauaji wanawaachia police tu.. hakuna hata mtu anaingia field kujua sourceMfululizo wa mauaji ni wazi kuwa tunadeal na dalili huku tatizo limetulia tuli.
Nimekuelewa sana mkuu ila jamii inabadilishwa sana teknology na interactions leo anakutana mchagga na Mhaya wanaoana makabila mawili tofaut pengine hata dini ni tofaut huo msingi wa maadili tunaupata wapi? Unampenda demu unafosi aishi kwenye code na conduct zako na yeye hajalelewa hivyo ila mmeelewana baadae anarud kwenye nature yake unaanza kumpiga..Maadili yakazaniwe kwenye jamii,ukiangalia mauajia mengi,msingi wake ni uchepukaji.Tunaoa na wadada wanaolewa na watu ambao ufanyaji ngono umeanza kitambo,hivyo utuliaji wa wenza ndani ya nyumba,inakua shida.
ipo cku ntampa mtu hii link ajisomee ajifunzdThread 'Watu kuachana siyo dhambi, talaka siyo dhambi' Watu kuachana siyo dhambi, talaka siyo dhambi
Wewe imagine mke anakucheat wakati unampiga mashine vizuri anakojoa ,mnakula na kunywa wote huku mnacheka ,mna watoto wazuri pamoja ,umempaa gari la kumsaidia mizunguko yake ,umewahi kumsamehe makosa makubwa makubwa nk nk- yaani kwa kifupi she cheated you at the best moment of your life.
RIP my friend Cosma