Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili yako unadhani Nani anachafua utawala fulani kwa kuua watu hivyo , wakati wa JPM hiyo akili ya kuchafua utawala uliiweka nchi ganiWenzetu wanauliwa, bado mnajadili siasa tu?
Kwahyo ulitaka Alshababi wastahimili hapa Tz ? au na ww ni mmoja wao? siasa ndo zinateketeza mataifa ya kiafrika , hatujui kutofautisha sehemu zinazotuhitaji tuwe kitu kimoja na sehemu zinazohitaji upinzanz , shithole countriesNaogopa asije akapiga marufuku kuripori matukio ya mauaji kama jiwe lilivyozuia kuripoti genocide iliyofanyika Kibiti.
Kwasasa ndo mnayajua hayo ? ila kumbebesha lawama JPM ilikuwa haki ?Kwa akili yako unadhani Nani anachafua utawala fulani kwa kuua watu hivyo , wakati wa JPM hiyo akili ya kuchafua utawala uliiweka nchi gani
Haya matukio lazima tuyalaani sote tusianze kubebesha mizigo watu fulani kijingajinga na kusambaza chuki
Kwa taarifa yako kipindi kile mauaji yalikuwa mengi, lakini taarifa ilikuwa seriously contained. Sasa hivi kwa sababu ya freedom of speed and infos sharing ndo maana haya mambo yana attendSi mlidai Magufuli ndo alikuwa anawaua!!
Amefufuka?
Lile jitu bishi linaweza kufufuka tu nakuendeleza mauaji ya kikatili kwa watanzania wasio na hatia. Tuweni tu vigilant likikuibukia kwenye anga zako unaliwahi faster na kulirudisha kuzimu huku ukijiaandaa na mikakati ya kudumu kulizuia lisiibuke tena mazima.Si mlidai Magufuli ndo alikuwa anawaua!!
Amefufuka?
Naomba nikuite 'mfinyu wa fikira'Kwa taarifa yako kipindi kile mauaji yalikuwa mengi, lakini taarifa ilikuwa seriously contained. Sasa hivi kwa sababu ya freedom of speed and infos sharing ndo maana haya mambo yana attend
Ohoo ,haya mauaji ya kimapenzi yatamaliza watu ukichanganya na ukichaa wa watu Hali itakuwa ndivyo sivyo.
Serikali iajiri wanasaikolojia haraka Sana.Hata hivyo mauaji yalikuwepo miaka mingi sema utandawazi nao unachangia taarifa kufika haraka Sana.
Naogopa asije akapiga marufuku kuripori matukio ya mauaji kama jiwe lilivyozuia kuripoti genocide iliyofanyika Kibiti.
Mkuu alaf nilisikia uyo mdada kanyongwa gesti ipo matarawe songea,,, kama una taarifa kamili tuandikie uzi MkuuSongea nayo kuna mwanadada kunyongwa tena wa miaka 17 na mamlaka zimekaa kimya kama hakuna kilichotokea
Ny..ko una akili ndogo Sana na hujui usemalo poleLile jitu bishi linaweza kufufuka tu nakuendeleza mauaji ya kikatili kwa watanzania wasio na hatia. Tuweni tu vigilant likikuibukia kwenye anga zako unaliwahi faster na kulirudisha kuzimu huku ukijiaandaa na mikakati ya kudumu kulizuia lisiibuke tena mazima.
Kwa taarifa yako kipindi kile mauaji yalikuwa mengi, lakini taarifa ilikuwa seriously contained. Sasa hivi kwa sababu ya freedom of speed and infos sharing ndo maana haya mambo yana attend
Lile jitu bishi linaweza kufufuka tu nakuendeleza mauaji ya kikatili kwa watanzania wasio na hatia. Tuweni tu vigilant likikuibukia kwenye anga zako unaliwahi faster na kulirudisha kuzimu huku ukijiaandaa na mikakati ya kudumu kulizuia lisiibuke tena mazima.
Huyo pimbi mambo yake hayataisha leo,wengi watakuwa wanaiga mambo yake hasa ubanaji wa democracySi mlidai Magufuli ndo alikuwa anawaua!!
Amefufuka?
hahahaha subiri fans wa magu waje juuSi tulisema haya mambo ni ya awamu ya tano?
Umeshaandikwa upo utafute huyo bint ni huyuMkuu alaf nilisikia uyo mdada kanyongwa gesti ipo matarawe songea,,, kama una taarifa kamili tuandikie uzi Mkuu