johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya.
Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu Msemaji wa Serikali mh Matinyi ndio aannze kuhangaika kwenye media kutolea ufafanuzi wakati Kazi hiyo ilipaswa kufanywa na Idara ya Mawasiliano Ikulu ambao Walikuwa Eneo la tukio nchini Korea.
Kitenge amesema hawa Watu Walikuwa hawamsaidii Mh Rais.
Source: Wasafi media (Good morning).
Pia soma Zuhura Yunus kaboronga wapi mpaka kutolewa Ikulu?
Jumaa Mubarak 😃😃
Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu Msemaji wa Serikali mh Matinyi ndio aannze kuhangaika kwenye media kutolea ufafanuzi wakati Kazi hiyo ilipaswa kufanywa na Idara ya Mawasiliano Ikulu ambao Walikuwa Eneo la tukio nchini Korea.
Kitenge amesema hawa Watu Walikuwa hawamsaidii Mh Rais.
Source: Wasafi media (Good morning).
Pia soma Zuhura Yunus kaboronga wapi mpaka kutolewa Ikulu?
Jumaa Mubarak 😃😃