Maulid Kitenge: Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya, haiwezekani tukio litokee Korea na nyie mko huko lakini msilitolee Ufafanuzi!

Maulid Kitenge: Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya, haiwezekani tukio litokee Korea na nyie mko huko lakini msilitolee Ufafanuzi!

Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya

Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu Msemaji wa Serikali mh Matinyi ndio aannze kuhangaika kwenye media kutolea ufafanuzi wakati Kazi hiyo ilipaswa kufanywa na Idara ya Mawasiliano Ikulu ambao Walikuwa Eneo la tukio nchini Korea

Kitenge amesema hawa Watu Walikuwa hawamsaidii mh Rais

Source: Wasafi media( Good morning)

Jumaa Mubarak 😃😃
CCM wamekwenda Korea kutembea na kuchoma fedha za maskini wa nchi hii huku wakiongeza madeni na kuuza nchi kwa wageni bila akili nzuri.
 
Moderator Sielewi kwanini nyuzi kuhusu taarifa ya ikulu iliyotoka kwa bahati mbaya na jina la marehemu haziunganishwi au hata zingine kufutwa... leo nyuzi nyingi hapa ni kuhusu hiyo ishu. Mbona nyuzi zangu nyingi tu huwa mnazifuta? Uzi wangu jinsi nilivyosalitiwa na mke wa jirani yangu kwa kuchepuka na mwanaume mwingine mliufuta... uzi wangu nikishauri kina dada kusaidia wapenzi wao kuacha punyeto mliufuta.
 
Kuna mamlaka za kuthibitisha kama unayo ama la, je TCU wamewahi kuikana? mafanikio ya Mbowe na wewe yapo sawa?
Nilishakwambia mara nyingi wakati Freeman ni mlinzi pale kwa Mtei na Makani mimi nilikuwa nagonga Bia aina ya Crown pale Kilimanjaro hotel 😂😂🔥
 
Aisee badala ya ku deal na kutokuuzwa vitu au ni vipi maliasili zetu zinalindwa tunajadili ni vipi tunaweza kuficha kinachoendelea....

 
Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya.

Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu Msemaji wa Serikali mh Matinyi ndio aannze kuhangaika kwenye media kutolea ufafanuzi wakati Kazi hiyo ilipaswa kufanywa na Idara ya Mawasiliano Ikulu ambao Walikuwa Eneo la tukio nchini Korea.

Kitenge amesema hawa Watu Walikuwa hawamsaidii Mh Rais.

Source: Wasafi media (Good morning).

Jumaa Mubarak 😃😃
Nafikiri hajaona gagulo la venus!
 
Kitenge naye ni wa kuripoti rubbish zake. Failure at all levels in the formal schooling! Kanjanja wa habari. Huyu siyo mwandishi wa habari, ni kwa vile tanzania hakuna waandishi wa habari ukicha wachache kama Ngurumo, Jenerali Ulimwengu and few others.

Ndiyo maana nakwambia kuwa John una petty mind!
Asante sana. Huyu jamaa ni hovyo mno. Ni kama mbwa koko kwa kuchumia tumbo. Ikulu mawasiliano hawezi kukaa mtu mwenye weledi kwa sababu ukiwa pale inabidi ujitoe ufahamu.
 
Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya.

Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu Msemaji wa Serikali mh Matinyi ndio aannze kuhangaika kwenye media kutolea ufafanuzi wakati Kazi hiyo ilipaswa kufanywa na Idara ya Mawasiliano Ikulu ambao Walikuwa Eneo la tukio nchini Korea.

Kitenge amesema hawa Watu Walikuwa hawamsaidii Mh Rais.

Source: Wasafi media (Good morning).

Jumaa Mubarak 😃😃
Huyu Marioo naye anafikiri atapewa yeye hiyo nafasi? Huyu lazima awake ikitajwa DP World kwani naye alidakishwa fungu .
 
Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya.

Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu Msemaji wa Serikali mh Matinyi ndio aannze kuhangaika kwenye media kutolea ufafanuzi wakati Kazi hiyo ilipaswa kufanywa na Idara ya Mawasiliano Ikulu ambao Walikuwa Eneo la tukio nchini Korea.

Kitenge amesema hawa Watu Walikuwa hawamsaidii Mh Rais.

Source: Wasafi media (Good morning).

Jumaa Mubarak 😃😃
je anataka kutuambia kwamba hii ndiyo sababu ya Zuhura kuondoka Ikulu? Je anajua pengine ni maandalizi ya Zuhura kuja kuwa kiongozi siku za mbele? Huyu jamaa anajiona anajua kila kitu kuna vitu vingine vya kukaa kimya na kama hakuna sababu iliyotolewa unatakiwa uheshimu. je akiambiwa Zuhura ameomba kupumzika ndiyo amepelekwa kuwa naibu Katibu mkuu? yeye Kitenge anautaalamu gani kuchambua mambo ya serikali yeye asubiri jioni kufanya mazoezi daraja la Tanzanite na kujadili kina Fei, Azizi K tu.
 
Back
Top Bottom