johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Matokeo ya Mbowe A level unayajua?😂Mbowe ana degree Kitenge kazungusha F4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo ya Mbowe A level unayajua?😂Mbowe ana degree Kitenge kazungusha F4
Ana degree au hana?Matokeo ya Mbowe A level unayajua?😂
CCM wamekwenda Korea kutembea na kuchoma fedha za maskini wa nchi hii huku wakiongeza madeni na kuuza nchi kwa wageni bila akili nzuri.Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya
Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu Msemaji wa Serikali mh Matinyi ndio aannze kuhangaika kwenye media kutolea ufafanuzi wakati Kazi hiyo ilipaswa kufanywa na Idara ya Mawasiliano Ikulu ambao Walikuwa Eneo la tukio nchini Korea
Kitenge amesema hawa Watu Walikuwa hawamsaidii mh Rais
Source: Wasafi media( Good morning)
Jumaa Mubarak 😃😃
Degree India zinauzwa kama karangaAna degree au hana?
Kuna mamlaka za kuthibitisha kama unayo ama la, je TCU wamewahi kuikana? mafanikio ya Mbowe na wewe yapo sawa?Degree India zinauzwa kama karanga
Nilishakwambia mara nyingi wakati Freeman ni mlinzi pale kwa Mtei na Makani mimi nilikuwa nagonga Bia aina ya Crown pale Kilimanjaro hotel 😂😂🔥Kuna mamlaka za kuthibitisha kama unayo ama la, je TCU wamewahi kuikana? mafanikio ya Mbowe na wewe yapo sawa?
Kweli Bora apewe msambwanda tuToka bitozo aseme anasomaga jf, watu wanajifungulia mauzi mengi kujipigia debe 🤣
But those are not news reporters! (waandishi wa habari)Elimu ya Kitenge na Mbowe zinafana pamoja na Mwenyekiti Mpya Kanda ya Nyasa 😂🔥
Nafikiri hajaona gagulo la venus!Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya.
Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu Msemaji wa Serikali mh Matinyi ndio aannze kuhangaika kwenye media kutolea ufafanuzi wakati Kazi hiyo ilipaswa kufanywa na Idara ya Mawasiliano Ikulu ambao Walikuwa Eneo la tukio nchini Korea.
Kitenge amesema hawa Watu Walikuwa hawamsaidii Mh Rais.
Source: Wasafi media (Good morning).
Jumaa Mubarak 😃😃
Akiwa kwenye utendajiHv udhaifu wa mtu unaonekana pale akiwa anatenda majukumu yake au baada ya kuondolewa kwenye hiyo nafasi.?
Asante sana. Huyu jamaa ni hovyo mno. Ni kama mbwa koko kwa kuchumia tumbo. Ikulu mawasiliano hawezi kukaa mtu mwenye weledi kwa sababu ukiwa pale inabidi ujitoe ufahamu.Kitenge naye ni wa kuripoti rubbish zake. Failure at all levels in the formal schooling! Kanjanja wa habari. Huyu siyo mwandishi wa habari, ni kwa vile tanzania hakuna waandishi wa habari ukicha wachache kama Ngurumo, Jenerali Ulimwengu and few others.
Ndiyo maana nakwambia kuwa John una petty mind!
Zuhura Yunus anatosha sana. Haya ni mapungufu ya kibinadamu.
Sasa mbona haya maneno yanakuja baada ya bibie kutolewa cheo?Akiwa kwenye utendaji
Waandishi wa kibongobongo hukesha kusubiri Teuzi 😂Sasa mbona haya maneno yanakuja baada ya bibie kutolewa cheo?
Huyu Marioo naye anafikiri atapewa yeye hiyo nafasi? Huyu lazima awake ikitajwa DP World kwani naye alidakishwa fungu .Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya.
Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu Msemaji wa Serikali mh Matinyi ndio aannze kuhangaika kwenye media kutolea ufafanuzi wakati Kazi hiyo ilipaswa kufanywa na Idara ya Mawasiliano Ikulu ambao Walikuwa Eneo la tukio nchini Korea.
Kitenge amesema hawa Watu Walikuwa hawamsaidii Mh Rais.
Source: Wasafi media (Good morning).
Jumaa Mubarak 😃😃
Hiyo nafasi inamtafuta Lucas MwashambwaTuzidi kumuombea mkuu Pascal Mayalla 😄
je anataka kutuambia kwamba hii ndiyo sababu ya Zuhura kuondoka Ikulu? Je anajua pengine ni maandalizi ya Zuhura kuja kuwa kiongozi siku za mbele? Huyu jamaa anajiona anajua kila kitu kuna vitu vingine vya kukaa kimya na kama hakuna sababu iliyotolewa unatakiwa uheshimu. je akiambiwa Zuhura ameomba kupumzika ndiyo amepelekwa kuwa naibu Katibu mkuu? yeye Kitenge anautaalamu gani kuchambua mambo ya serikali yeye asubiri jioni kufanya mazoezi daraja la Tanzanite na kujadili kina Fei, Azizi K tu.Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya.
Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu Msemaji wa Serikali mh Matinyi ndio aannze kuhangaika kwenye media kutolea ufafanuzi wakati Kazi hiyo ilipaswa kufanywa na Idara ya Mawasiliano Ikulu ambao Walikuwa Eneo la tukio nchini Korea.
Kitenge amesema hawa Watu Walikuwa hawamsaidii Mh Rais.
Source: Wasafi media (Good morning).
Jumaa Mubarak 😃😃