CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Waandishi wa kibongobongo hukesha kusubiri Teuzi 😂
Tuanze na ya Mama Abdul.Matokeo ya Mbowe A level unayajua?😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waandishi wa kibongobongo hukesha kusubiri Teuzi 😂
Tuanze na ya Mama Abdul.Matokeo ya Mbowe A level unayajua?😂
Huyo hapo KitengeWaandishi wa kibongobongo hukesha kusubiri Teuzi 😂
.Waandishi wa kibongobongo hukesha kusubiri Teuzi 😂
Hilo papai linawaza ujinga tuInasikitisha mwandishi wa habari Kitenge hajui majukumu ya kurungezi ya mawasiliano Ikulu na majukumu ya msemaji wa Serikali
#prayfor Pascal Mayalla #Tuzidi kumuombea mkuu Pascal Mayalla 😄
Maulidi haelewi protocol 😄😄Inawezekana huyu mama hakulisemea kwa sababu aliona ni kweli na msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.
Miaka ya 90s zuhura alikuwa yuko vizuri kwenye kuandaa man mancert yaliyokuwa yanafanyika poolside na kwenye majumba ya sinema 😄Kwenye kichwa chake idara ya habari Ikulu ukiwa msemaji unaweza jiropokea tu hovyo kama alivyozoea.
Hakuna kitu ambacho Zuhura angeweza fanya kama hana details Kamili na pili kama coordinator anachotakiwa kuongea kiwe ndio mtazamo wa kila wizara.
Huko Korea wameenda mawaziri kadhaa kila mtu na lake; yeye angetoa maelezo gani kama director wa communication bila ya kupata report za wizara kwanza walichosaini nini.
Kinachotakiwa Ikulu ni organisation huyo Zuhura, na yule news reader mwingine kutoka BBC wote unqulakified.
Director wa communication anatakiwa mtaalamu wa maswala ya public relation Zuhura ana hiyo experience
Tatizo ni system ya mamlaka ya teuzi na kwenyewe kumejaa a bunch of people without HR qualification za kuelewa what skills are suitable for roles hasa ndani ya Ikulu.
Sio Zuhura tu inaonekana kuna Ikulu kuna watu wengi tu kwenye technical roles who are unqualified ndio maana ni chaos.
Jumlisha na ‘bi tozo’ mwenyewe kupenda kuteua watu anaowajua na wengine anapachikia she is not bothered kutaka kujua kwanini anaamisha watu au hao anaowateua ni hakina nani. Tunamlazimisha tu huyo mama hiyo nafasi ya uraisi ni kubwa sana kwake
🤣Kweli Bora apewe msambwanda tu
Rekodi yake ya kuuza kisamvu inamtia doa au ndiyo vile siku hizi vetting ni ya kulipua lipua tu.Kitenge the certified chawa anapambania teuzi.
PRETY CORRECT! YOU HAVE NAILED IT HOMEAsante sana. Huyu jamaa ni hovyo mno. Ni kama mbwa koko kwa kuchumia tumbo. Ikulu mawasiliano hawezi kukaa mtu mwenye weledi kwa sababu ukiwa pale inabidi ujitoe ufahamu.
Mwambie ukweli huyo pimbi!Mbowe ana degree Kitenge kazungusha
Mimi nimeshajiridhisha huyu Kitenge ana uwezo mdogo wa kuchakata mambo.Kwenye kipindi cha michezo let say kuna mahojiano yeye mwanzo mwisho anaongea utani na kudakia wenzake kuongea..Inasikitisha mwandishi wa habari Kitenge hajui majukumu ya kurungezi ya mawasiliano Ikulu na majukumu ya msemaji wa Serikali
Dah mkuu kumbe bado huko umepotea sana mkuuKeshapigwa chini.
Uko nchi gani mkuu?
Ana degree au hana?