Maulid Kitenge kila weekend yupo London


Hahahaaa,yaani nimecheka hadi machozi!
Looh!
 

Hhhhhaaaaaaaa nikuambie unigeuze diliii
 
Huyu nguli wa michezo wa pale E-Fm Radio kila ifikapo weekend lazima awe London Uingereza. Kama Celeb tuna haki ya kudadavua hiyo mitoko!!

warumi una mpya gani hapa?
Hawa watangazaji hawa ogopa sana wengi wanaosafiri sana Usa na uk hawana marinda na wengine wana mikataba huko ndio wanakojifichia wasionekana mikataba ya kishetani, hata hawa manabii hawa ni wengi ni mafriima....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…