Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuambia tena warumi atakua wa kwanza!
Hahahaaa
Kwa hyo ni bwabwa jamani
Shoga nimechokaje?Mungu atusaidie tu.
Acha tu jamani Kitenge alikua hendisamu kwelikweli si mchezo.Na kile kidoti tena..looh!
Yaani kachokaje?
Shogaa mbona kazi sasa shoga ngoja nikunong'oneze mpaka sasa sijaju mheshimiwa ni nani
acha tu mi sio shabiki sa sports ila kwa ajili ake.nlikua nafatilia ha ha ha maulid alikua mtamu ka.mcharo sijui.nn kimeharibu sura
Mmmmh,shoga huzitakii kucha zangu mema wewe.Hebu rudia kusoma tena vizuri.
Umbea c kazi bibi
kazi KUFUNGWA make sahivi sio KUTUSWA ha ha ha
kazi KUFUNGWA make sahivi sio KUTUSWA ha ha ha
Picha basi za klyn si keshafunga ndoa jameniii
mwenzio hata sina taarifa sijaingia IG muda
Na atusamehe tu shoga maana usengenyaji huu adhabu yake ni kali sana.
Ila sasa hivi tutakomaje hiyo sheria ikipitishwa? Ni mwendo wa lupango tu.
Mmmmh,shoga huzitakii kucha zangu mema wewe.Hebu rudia kusoma tena vizuri.
Bado hazijawekwaa jamani mwanamke kapata yule,sio unakua na babu halaf ananuka uzee kua aku shombo ya nini
Sasa hivi kuna sheria gani jamanii
Bado hazijawekwaa jamani mwanamke kapata yule,sio unakua na babu halaf ananuka uzee kua aku shombo ya nini
Sasa hivi kuna sheria gani jamanii
Si bora wakate kucha zitaota, siku izi wamesema wakitukamata wambea wote wanatukata vidole, apo sasa sijui tutaandikaje umbea, inabidi tuwaombe ma mods waweke voice note, aaaaah aah