Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Huyo Mpumbavu anatumiwa na Wafugaji wa Kenya kuharibu TZ ..na viegioo vyao vya Kipumbavu Ololosokwani...wamemsubuwa sana Thomson Safari huko pinyinyi...
 
Huyo Mpumbavu anatumiwa na Wafugaji wa Kenya kuharibu TZ ..na viegioo vyao vya Kipumbavu Ololosokwani...wamemsubuwa sana Thomson Safari huko pinyinyi...
Hawata fanikiwa na vitisho vyao vya kijinga.

Team ipo karatu kuelekea Ngorongoro
 
Huo ndiyo ukweli na ukifuatilia kwa undani utagundua kuwa 35% ya ng'ombe wa maasai ni wa kutoka Kenya kufuata malisho hapa nchini kwetu.
Mmawia Shikaamoo mingi sana Ujasusi mahala popote muda wowote
 
Great Mkuu ...kuna Mmasai wa Kenya Longido aliiuza AWF kwa waKenya...kunawakati VETI inamatatizo sana.....
 


Watu na mifugo inaongezeka eneo ni lile lile
Tanzania ina maeneo makubwa wahamishwe tu..... kuna wilaya kama Handeni, Kilindi na Bagamoyo wahame tu
 
Tupo hapa stand ya kwenda Mang'ora tunapata mahitaji kidogo ndiyo turbo ifunguke kuelekea Ngorongoro mkuu.
Kamanda Big salute Msalimieni MANONGI Mhifadhi mwalimu wakileta chokochoko Sudan kusini sio mbali
 
Hawawezi kukubali.. Masai wa Kenya wanalalia upande wetu...
Hasa Namanga upande wa Tanzania.. kisha Longido... na baadae mpaka wanachanganyika na mifugo yetu mpaka hifadhini...
Ndiyo hivyo chanzo kikuu ni kutoka Kajiado
 
Ndiyo hivyo chanzo kikuu ni kutoka Kajiado
Daah.. Kuna issue nikipata muda nitaifungulia topic kuhusu Kitengela.. Kajiado na Jomo Kenyatta Airport..
Yaani sisi tunapoteza mapato makubwa Sana..
Mifugo yetu hapa Tz inatoroshwa..ila wengine ni mifugo ya Kenya ila wapo Tz kwa ajili ya malisho.. Wakishanenepa.. Haoooo JKIA... Wanasafirishwa kwenda Dubai..
KIA Serikali sijui kama imeweka cold storage facility..
Yaani KIA inatakiwa ndege za UAE zitue kuchukua nyama kwetu.. Kule Dubai wanakula mbuzi.. Kondoo. .ila inaonekana ni kutoka Kenya
 
Wakenya ni watu wa akili mingi sana kwenye mambo ya kiuchumi.
 
Hawawezi kukubali.. Masai wa Kenya wanalalia upande wetu...
Hasa Namanga upande wa Tanzania.. kisha Longido... na baadae mpaka wanachanganyika na mifugo yetu mpaka hifadhini...
Mkuu ile VETI ya Longido Mama walimungiza Mkenge ....hafai kabisa tena huko kwenye Land
 
Huyu aliye funguwa huu uzi huko alipo Anajuta...J4 Haikopeshi....Mkuu funguwa UTUJUZE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…