Jameel2013
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 824
- 762
Elimu yako darasa la ngapi? maana unaweza kuwa umesoma nilicho kiandika lkn huwelewi maudhui yake ni nini.Wewe unaamini kuwa tajiri uishi kwenye ghorofa ya kupanga ulaya au!?
Umewazidi nini na kuishi kwako mjini zaidi ya fujo na moshi wa magari?
Ajabu ni kwamba hakuna omba omba huko lakini mjini utawakuta tele.
Familia zinaongezeka na n'gombe wanaongezeka. Hifadhi haiongezeki.Fanya utafiti acha upuuzi, unajua Mahakama ya EACJ ilifanya maamuzi gani hadi Serikali ya Tanzania ikacease kufanya hilo unaloamini? Tena chini ya Shujaa that time!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapohapo mkawauzia waarabu eneo? Sasa si bora mngewapa hao wamasai bureLazima uwepo mkakati wa kuitunza ngorongoro
Nonsense! Most of leaders hayana upeo kabisa ..no community based approach yanakurupuka tu..Yaee yanapata hata exposure kwa nchi za wengine..kwani Zimbabwe wamewezaje?Tatizo lenu mnahujumiana mtafute Kimai na wale jamaa wa Pingos ..Maa ..mtaalam Mande..
Mwalimu Manongi mtamlaumu bure tu ..Kilindi kuna maeneo mengi tu
Hapo hapo waarabu wanapewa eneo wajenge na waishi.Watu wanahamishwa barabara ikijengwa, watu wanahamishwa pakigundulika ardhi Ina madini yaani nyie ni kina nani msihamishwe ???
The fact kwamba mlikuwepo hapo from 1950's haiwapi legality ya kuendelea kukaa Kama itaonekana mnaweka threat kwa wanyama pori.
As long as eneo hilo lilishatangazwa kuwa protected na sheria sioni sababu ya hao wamasai kung'ang'ania after all hakina walichojenga au wanacholima zaidi ya kufuga ng'ombe wanaonyang'anyana malisho maana wanacholazimisha ni kupata Yale mapori ambapo kwingine wanajua hawataweza kufuga kwa style Ile .
Tuwe na uchungu na taifa letu, ng'ombe wanaongezeka na familia zao zinaongezeka siku Hadi siku, better late than never.
Hii nchi tunaongozwa kwa sheria, mbona wengine wanahamishwa kupisha maslahi mapana ya Taifa?? Kwa nini wao wajione ndio wenye nchi pekee?
Umeongea kwa facts.Usiandike kishabiki hali ya Ngorongoro inasikitisha,inakatisha tamaa & ina huzunisha.
Ni kweli Waasai wapo ngorongoro miaka mingi wakishi na wanyama pori na mifugo yao.Wakati huo Mamlaka inaanzishwa idadi ya watu ilikuwa 8,271 na idadi ya mifugo ilikuwa 30,000.Nyumba za wamaasai zilikuwa aina ya combi
View attachment 2109828
Leo idadi ya Maasai ni 120,000 huku idadi ya mifugo yao ikifikia zaidi ya 1,000,000 na makaazi yao yakiondoka katika uasilia na kwenda kwenye usasa.Leo hii mabati msouth yamejaa Ngorongoro.Mmaasai anajenga nyumba za kisasa hadi maghorofa yamejengwa ndani ya hifadhi mgeni akitembelea Ngorongoro anakutana na Kondoo,Mbuzi na Ng'ombe kwa wingi kuliko Simba au Nyati.
Lazima Tanzania ichukue hatua kali na madhubuti kuokoa Ngorongoro.Kumezuka NGOs nyingi tena nyingine zikiasisiwa Kenya zipo pale kwaali ya kutetea ujinga na kuona Ngorongoro inakufa.Hii vita asili yake kubwa ni Kenya ambayo inaumizwa sana na uwepo wa Ngorongoro,Serengeti na Kilimanjaro.Kenya kupitia idara yake ya ujasusi inafahamu wazi ushindani wa utalii ni vivutio na wakiangalia hizo Mbuga tatu wanaona bora waiumize walau moja ambayo ni Ngorongoro.
Hizi NGOs nyingi zinawadanganya wamaasai Ngorongoro ni mali yao,serekali haina chao sasa huu ujinga ungemalizwa na vingozi wenye maamuzi mazito ikiwemo kuirejesha Ngorongoro TANAPA na kuifanya HIFADHI kama zilivyo Manyara,Serengeti,Kilimajaro au Mikumi.Wamaasai wahamishwe wote Tanzania bado ina mapori mengi.
Wanahamishwa sio kufukuzwa.Unafahamu sababu za Ngorongoro kuwa mamlaka kamili ya hifadhi inayojitegemea?....Kwani hao wamasai hawakuwa kuhamishwa miaka ya nyuma?..
...hili suala linachanganya sababu kumeibuka wimbi la wasemaji wengi na ngumu kujua ukweli upo wapi...
anyway suala la Ngorongoro kulindwa ni lazima....ila isilindwe kwa gharama ya watu kuteseka,kuumizwa na kufanywa wakimbizi wa ndani....lazima utaratibu uwekwe na ufatwe.
Una uhakika na unachodai?Waarabu wamepewa eneo Ngorongoro au Loliondo?Get your facts right.Unaposema wanajenga na kuishi una maana gani?Hapo hapo waarabu wanapewa eneo wajenge na waishi.
Kwa nini ni wamasai tu na sio hawa waarabu?
Wanahamishwa wamasai alafu wanapewa waarabu? Hapo umelinda maliasili gani?Hao wamasaai watahamishwa tu ili mradi huu mradi unaenda kulinda mali asili yetu kama taifa.
Hata muende wapi hamtoweza kuizuia serikali kukamilisha miradi yake yenye tija kwa watanzania.
Kama umetumwa na wakenya ambao kimsingi wanapigana kuhakikisha Ngorongoro inapoteza uasili wake ili wao wanaufaike na madhaifu hayo basi kawambie kuwa watanzania wapo macho.
Wamasai wanaondoka alafu wanapewa waarabu, Sasa hapo unakua umefanya nini?Wamasai hao waondoke, na ni Lazima...
Linapokuja suala la Maslahi ya Taifa ,Ardhi Mmiliki wake Mkuu ni Rais kupitia Kamishna wa Ardhi Kama Kuna wanaopaswa kulipwa Fidia na iwe hivyo.
Tatizo suala hili ndani yake Kuna wanasiasa wananufaika nalo
Kaka, linapikuja suala la kitaifa inabidi Sisi Kama vijana tulitetee bila kuangalia maslahi binafsi,Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.
FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Africa Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).
Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..
Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)
Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.
Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.
Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
Hahaha Mkuu kumbe unawajuwa sasa pigania KATIBA MPYAA ....nimefanya kazi sana huo ukanda Maasailand nikiwa AWF.... huko Zimbabwe land use plan tumezipiga sana ....ukiyapandisha ya Zimbabwe na Ngorongoro ni mbingu na ardhiNonsense! Most of leaders hayana upeo kabisa ..no community based approach yanakurupuka tu..Yaee yanapata hata exposure kwa nchi za wengine..kwani Zimbabwe wamewezaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo akili na elimu uliyopewa inakusaidia nini kama lifespan yako ni ndogo kuliko mmasai wa ngorongoro?Elimu yako darasa la ngapi? maana unaweza kuwa umesoma nilicho kiandika lkn huwelewi maudhui yake ni nini.
Kwa kukusaidia sija maanisha waje kuishi MJINI au WAJENGE MAGOROFO tumia akili uliyo pewa na Muumba wako kufikiria.
Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
Watahamishwa lini?Wanahamishwa sio kufukuzwa.
Ulitaka wabakie mjini?Ngorongoro ni sehemu ya ajabu sana duniani, licha ya wanyama pori kuishi na binadamu ajabu lingine ni wamasai ambao ni wakazi wa eneo hilo wanaenda shule kusoma na kupata exposure kisha narudi ngorongoro anavaa lubega na kuchunga ngo'mbe. Utakutana na watu wana Bachelor, masters, na Phd ila anachunga ng'ombe na wengi wamesomea sheria na wamesoma vyuo vya nje.
Zimbabwe hawajaweza mkuuNonsense! Most of leaders hayana upeo kabisa ..no community based approach yanakurupuka tu..Yaee yanapata hata exposure kwa nchi za wengine..kwani Zimbabwe wamewezaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli usemwe,Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.
FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).
Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..
Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)
Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.
Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.
Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
Waarabu wako mbioni kufungasha TANAPA inabeba hilo eneoHapo hapo waarabu wanapewa eneo wajenge na waishi.
Kwa nini ni wamasai tu na sio hawa waarabu?