Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Wewe unaamini kuwa tajiri uishi kwenye ghorofa ya kupanga ulaya au!?
Umewazidi nini na kuishi kwako mjini zaidi ya fujo na moshi wa magari?
Ajabu ni kwamba hakuna omba omba huko lakini mjini utawakuta tele.
Elimu yako darasa la ngapi? maana unaweza kuwa umesoma nilicho kiandika lkn huwelewi maudhui yake ni nini.

Kwa kukusaidia sija maanisha waje kuishi MJINI au WAJENGE MAGOROFO tumia akili uliyo pewa na Muumba wako kufikiria.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
 
Fanya utafiti acha upuuzi, unajua Mahakama ya EACJ ilifanya maamuzi gani hadi Serikali ya Tanzania ikacease kufanya hilo unaloamini? Tena chini ya Shujaa that time!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Familia zinaongezeka na n'gombe wanaongezeka. Hifadhi haiongezeki.

Tutailindaje Ngorongoro na Serengeti hata vizazi vijavyo viione?

Watu wamehamishwa hata kabla ya maamuzi ya kesi uliyoitaja. Labda kwasababu sio mkazi wa Ngorongoro haujajua tu.
 
Tatizo lenu mnahujumiana mtafute Kimai na wale jamaa wa Pingos ..Maa ..mtaalam Mande..

Mwalimu Manongi mtamlaumu bure tu ..Kilindi kuna maeneo mengi tu
Nonsense! Most of leaders hayana upeo kabisa ..no community based approach yanakurupuka tu..Yaee yanapata hata exposure kwa nchi za wengine..kwani Zimbabwe wamewezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa najua Serikali wadau wake wengi wanapita hapa Jamii Forums...
Ushauri..
Serikali ipunguze nusu ya wamasai Ngorongoro.. Pamoja na robotatu ya mifugo..
Ukienda pembeni kama Loliondo au Longido kuna mapori ya kutosha kwa ajili ya mifugo yao..
Cha ziada Serikali ijenge shule na huduma wezeshi huko kabla hawajahamia huko
 
Hapo hapo waarabu wanapewa eneo wajenge na waishi.
Kwa nini ni wamasai tu na sio hawa waarabu?
 
Umeongea kwa facts.

Wengine wamebaki kimihemko.
 
Wanahamishwa sio kufukuzwa.

Wanateseka vipi?
 
Hapo hapo waarabu wanapewa eneo wajenge na waishi.
Kwa nini ni wamasai tu na sio hawa waarabu?
Una uhakika na unachodai?Waarabu wamepewa eneo Ngorongoro au Loliondo?Get your facts right.Unaposema wanajenga na kuishi una maana gani?
 
Wanahamishwa wamasai alafu wanapewa waarabu? Hapo umelinda maliasili gani?
 
Wamasai hao waondoke, na ni Lazima...
Linapokuja suala la Maslahi ya Taifa ,Ardhi Mmiliki wake Mkuu ni Rais kupitia Kamishna wa Ardhi Kama Kuna wanaopaswa kulipwa Fidia na iwe hivyo.

Tatizo suala hili ndani yake Kuna wanasiasa wananufaika nalo
Wamasai wanaondoka alafu wanapewa waarabu, Sasa hapo unakua umefanya nini?
 
Ngorongoro ni sehemu ya ajabu sana duniani, licha ya wanyama pori kuishi na binadamu ajabu lingine ni wamasai ambao ni wakazi wa eneo hilo wanaenda shule kusoma na kupata exposure kisha narudi ngorongoro anavaa lubega na kuchunga ngo'mbe. Utakutana na watu wana Bachelor, masters, na Phd ila anachunga ng'ombe na wengi wamesomea sheria na wamesoma vyuo vya nje.
 
Kaka, linapikuja suala la kitaifa inabidi Sisi Kama vijana tulitetee bila kuangalia maslahi binafsi,
Ungekuja na facts kwamba Hilo eneo tunaloliona kwenye hiyo video sio eneo la hifadhi ningekuelewa, lakini Kama ni eneo la hifadhi na watu wamejenga nyumba za mabati inaonyesha Kua huu ni uvamizi na nadhani ungepaswa kumpongeza kitenge kwa kupaza sauti.
Lakini hili swala hata Mh Rais mama Samia alishaliongelea, sasa unataka kutuambia na mama nae anatumiwa?
Au Una mifugo yako pale ?
 
Nonsense! Most of leaders hayana upeo kabisa ..no community based approach yanakurupuka tu..Yaee yanapata hata exposure kwa nchi za wengine..kwani Zimbabwe wamewezaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Mkuu kumbe unawajuwa sasa pigania KATIBA MPYAA ....nimefanya kazi sana huo ukanda Maasailand nikiwa AWF.... huko Zimbabwe land use plan tumezipiga sana ....ukiyapandisha ya Zimbabwe na Ngorongoro ni mbingu na ardhi
 
Hiyo akili na elimu uliyopewa inakusaidia nini kama lifespan yako ni ndogo kuliko mmasai wa ngorongoro?
Destruction kwako ndio unaona maendeleo, au kunywa maji yaliyochanganywa sukar na rangi na kuitwa soda.
 
Wanahamishwa sio kufukuzwa.
Watahamishwa lini?
Ulitaka wabakie mjini?
 
Ukweli usemwe,
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…