Mbona police huwa wanaripoti kwenye vyombo vya habari matukio ya kukamata waaharifu hata kabla ya kuwapeleka mahakamani?Elewa tofauti iliyopo kati ya Nyaraka za Siri kuvuja (divulge) na Nyaraka hizo kuwekwa hadharani makusudi.
Documents za Siri kuhusu sakata hili hazijavuja wala kuvujishwa, bali zimewekwa hadharani makusudi ili Watu wote waweze kuziona kwa Nia ya kudhalilisha utu wa mtu badala ya documents hizo kupelekwa Mahakamani ili zitumike kama ushahidi wa Kesi ya jinai.
Wala hatumtetei, bali tunajaribu kuliweka suala hili katika mizania ya Haki na kulipima.Mmejazana humu kumtetea kwanini asisingiziwe RC mwingine ?kubaka kabaka period
Hivi unaelewa maana ya Nyaraka za Siri (Classified Documents) na namna jinsi zinavyotakiwa kuwa handled??? Unataka Nyaraka hizo za Siri ziwe zinawekwa hadharani kwenye mitandao kama hivi walivyofanya hao Polisi kwa huyu RC? Seriously??Mbona police huwa wanaripoti kwenye vyombo vya habari matukio ya kukamata waaharifu hata kabla ya kuwapeleka mahakamani?
Sasa hapo nyaraka ya Siri ipo wapi Yana RC kumfira Binti wa miaka 21 ni classified document hebu acha ujinga hayo ni matumizi mabaya ya lughaHivi unaelewa maana ya Nyaraka za Siri (Classified Documents) na namna jinsi zinavyotakiwa kuwa handled???
Je, haukuona kwamba barua/documents hizo zimegongwa mhuri wa 'SIRI'???Sasa hapo nyaraka ya Siri ipo wapi Yana RC kumfira Binti wa miaka 21 ni classified document hebu acha ujinga hayo ni matumizi mabaya ya lugha
Yawezekana wewe ni Askari Polisi, tena yule aliyepata 'Division Four ya Point 28' katika matokeo ya mtihani wa kidato cha nne. Pole yako Sana!Wewe acha kulisha watu mataputapu
Sawasawa mporiporiYawezekana wewe ni Askari Polisi, tena yule aliyepata 'Division Four ya Point 28' katika matokeo ya mtihani wa kidato cha nne. Pole yako Sana!
π€£πAende mahakamani akawashitaki waliomtengenezea kashifa.
Binti alikeweshwa halafu kumbuka aliyemfanyia hicho kitendo Ni mzoefu.Haya ni maigizo tu
Binti ambae hajawahi kuliwa Tigo anawezaje kuliwa ndogo kwenye gari tena pasipo hiyari?
Fikirieni ugumu wa kitendo hicho sehemu yenye nafasi kwa binti aliyetayari na fananisheni na binti asiyetayari kwenye sehemu finyu garini
tatizo ni policcm sio wananchiKama ushahidi umepokelewa huko Polisi, Je, kwa Nini ushahidi huo haukupelekwa Mahakamani kwa ajili ya kufungua Kesi ya jinai badala yake umewekwa humu mtandaoni ili watu wote waone? Huu ndio utaratibu wa utendaji kazi kwa Jeshi la Polisi???
hahaha siwezi kupingana na nyie wataalamHawa mabinti wa siku huzi kuliwa makalio kwani ni breaking newz? Ukiangalia tu mazingira ya bata ya huyo bint utagundua ni mwenyeji wa ndogo.
Mjini shule, bila maokoto utalikimbia jiji.Ukiona huyu bwana anaingilia mambo ujue kalipwa
View attachment 3014619
PossiblyLakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap.
Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikΓ nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Kwa nini?
π€π€πLakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap.
Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikΓ nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Kwa nini?
πβοΈπ€π€Maulid ni sawa na saa mbovu. Tumuache.
Mkuu, umenena vyema, bahati mbaya ni kuwa watanzania wachache wanao muda wa kufanya tafakuri tunduizi. Naomba ijulikane mapema kuwa siko upande wowowte katika suala hili.
Umeongea vyema kuhusu nyaraka za siri. Leo kuna story za Julian Assange na Snowden, lakinj sijui kama tumesahau au tumejifanya hivyo kwa maslahi?
Gazeti la mwananchi, bila kupindisha maneno limetumika ndivyo sivyo kuhusu suala hili. Uongo mwingi uliochanganywa na ukweli kidogo, umetumika kuwaaminisha watu kile wanachotaka.
Katika habari yao weledi umewekwa kando. Hatuoni mahali ambapo mtuhumiwa amepewa nafasi ya kujitetea. Habari yote imejaa maelezo yanayolenga kumfanya, mtujumiwa ni mkosaji lakini hakupatikana hata mmoja wa kueleza vinginevyo.
Gazeti hilo linadai, tayari Sampuli za DNA za mwanamke huyo zimechukuliwa zikisubiri za mtuhumiwa. Hawa tayari wana uhakika na madai yanayotolewa.
Kuweka rangj katika mfupa ulioundwa wanapatikana watu walioshuhudia tukio hilo mwanzo mwisho. Lakini mashuhuda hao walishindwa kutoa msaada, wakasubiri uchuguzi wa Mwananchi ndio waelezee tukio.
Mwananchi ninyi, uandishi huu unastahili zawadi. Kwamba chanzo kingine kilichoko ofisi nyeti Dodoma, kimedai baada ya kufika kwenye gari, mtuhumiwa akatimiza haja zake!
Yaani mfanyakazi aliyeko ofisi nyeti tena Dodoma alishuhudia hilo tukio, badala ya kutoa taarifa Mza akaenda Dodoma kumsubiri mwandishi wa mwananchi mwenye uwezo wa kutabiri, mtumishi wa ofisi nyeti aliyekuwa mwanza siku ya tukio na alishuhudia kilichotokea.
Tujiulize, binti alibakwa the cask ghana, akaenda km zaidi ya 25 Malimbe. Vipi maeneo yote hayo alipita hospitali na vituo vingapi vya Polisi.
Kufika Malimbe akavua nguo na kulala kwa siku mbili katika chuo kinachofundisha kozi ya sheria na katika wakati huu ambapo elimu ya nini ufanye au usifanye ukikumbwa na hali hiyo inatolewa kila mahali.
Kwanini, mwananchi wanatoa habari za upande mmoja hivi?
βοΈπππππ€ππ‘οΈInasemekana atawania ubunge mwakani na huko kwao anakubalika kuliko mbunge aliyepo(mwanamke) ambae mumeww ni Rc mwanza kwahiyo hapo utakuwa umeelewa mchongo unavyoenda
Wametumia udhaifu wa tabia zake kumzima kisiasa na kumuharibia wasifu na kumpunguzia nguvu ya ushawishi na fedha kufanya kampeni
Sio kalipwa sema udini unamtafuna huyo,huyo rc angekuwa mkristo angeshupalia sana mchunguze utapata majibuUkiona huyu bwana anaingilia mambo ujue kalipwa
View attachment 3014619