SoC01 Maumivu ni chanzo cha mafanikio yako

SoC01 Maumivu ni chanzo cha mafanikio yako

Stories of Change - 2021 Competition

Bonnie99

New Member
Joined
Sep 16, 2021
Posts
2
Reaction score
8
Katika maisha kuna changamoto nyingi sana ambazo zinakuja katika maisha ya mwanadamu ili kukupa uwezo kamili wa kusonga mbele ili kuzifikia ndoto zako

Lakini kuna wakati ambao changamoto hizi hufikia hatua ya kukupa maumivu makali sana pale ambapo unaona zinasababishwa na watu wa karibu ambao hukuwadhania katika fikra zako au mtazamo wako na kukufanya usifikie malengo yako katika maisha.

Lakini hii sio sababu endapo una kiu kwenye kile unachokitaka maishani Ni wakati ambao inakubidi ukubaliane na hali husika sababu ni wakati ambao hutakiwi kupunguza mwendo bali kuongeza NIDHAMU,UVUMILIVU na MWENDELEZO kwa jambo unalolifanya.

Kuna wakati ambao unafanya jambo fulani lakini hakuna ishara ya kukutaarifu kuwa MWENDELEZO unahitajika ili kupata matokeo unayoyataka maishani na Ni vigumu sana kuligundua hili endapo tu ukiwa na hasira na kile unachokitaka maishani

Kuna wakati inabidi upite kwenye matope ili uione njia yako ya mafanikio, kuna wakati utakanwa na rafiki, ndugu au mtu yeyote yule sababu ya changamoto zinazokukabili lakini Ni CHANGAMOTO tu sio wewe, changamoto zitapita ila wewe upo milele

Usikubali kurudishwa nyuma na changamoto sababu ni za muda tu kuna wakati zitaisha muda (expire) na utaziona za kawaida.

Pia kuna wakati inabidi ubadishe namna unavyojiona ili kukabiliana na maumivu ya kushindwa na kukata tamaa ili kufikia malengo yako usisubiri mtu wa kukuamsha ili usonge mbele bali ni wewe mwenyewe.
 
Upvote 7
Ni kweli kabisa kuna limama lilinkatia mshahara kwa sababu tu nimekwenda kusoma Masters!...nikilikamata litajua mbivu na mbichi yaani ni kukata na kufunua silembi!! shenzi sana hilo li umbwa!! wivu tu!
 
Katika maisha kuna changamoto nyingi sana ambazo zinakuja katika maisha ya mwanadamu ili kukupa uwezo kamili wa kusonga mbele ili kuzifikia ndoto zako

Lakini kuna wakati ambao changamoto hizi hufikia hatua ya kukupa maumivu makali sana pale ambapo unaona zinasababishwa na watu wa karibu ambao hukuwadhania katika fikra zako au mtazamo wako na kukufanya usifikie malengo yako katika maisha.

Lakini hii sio sababu endapo una kiu kwenye kile unachokitaka maishani Ni wakati ambao inakubidi ukubaliane na hali husika sababu ni wakati ambao hutakiwi kupunguza mwendo bali kuongeza NIDHAMU,UVUMILIVU na MWENDELEZO kwa jambo unalolifanya.

Kuna wakati ambao unafanya jambo fulani lakini hakuna ishara ya kukutaarifu kuwa MWENDELEZO unahitajika ili kupata matokeo unayoyataka maishani na Ni vigumu sana kuligundua hili endapo tu ukiwa na hasira na kile unachokitaka maishani

Kuna wakati inabidi upite kwenye matope ili uione njia yako ya mafanikio, kuna wakati utakanwa na rafiki, ndugu au mtu yeyote yule sababu ya changamoto zinazokukabili lakini Ni CHANGAMOTO tu sio wewe, changamoto zitapita ila wewe upo milele

Usikubali kurudishwa nyuma na changamoto sababu ni za muda tu kuna wakati zitaisha muda (expire) na utaziona za kawaida.

Pia kuna wakati inabidi ubadishe namna unavyojiona ili kukabiliana na maumivu ya kushindwa na kukata tamaa ili kufikia malengo yako usisubiri mtu wa kukuamsha ili usonge mbele bali ni wewe mwenyewe.
Imekaa poa
 
Back
Top Bottom