Lets Get Together
JF-Expert Member
- Nov 26, 2019
- 258
- 429
Habari wakuu.
Ninapata maumivu makali sana ya kichwa upande wa kushoto (sometimes kushoto na kulia kwa pamoja) kuanzia jichoni hadi kwenye sikio.
Nilipima macho nikapewa miwani lakini hainisaidii bado kichwa kinauma sana hasa nikiangalia vitu vya mwanga mkali kama simu, computer au TV.
Sina tatizo kwenye kuona, naona vizuri kabisa tatizo ni haya maumivu yaani sina raha kabisa.
Naomba msaada wa kimawazo kwenu wataalam hapa jukwaani.
Ahsante.
Ninapata maumivu makali sana ya kichwa upande wa kushoto (sometimes kushoto na kulia kwa pamoja) kuanzia jichoni hadi kwenye sikio.
Nilipima macho nikapewa miwani lakini hainisaidii bado kichwa kinauma sana hasa nikiangalia vitu vya mwanga mkali kama simu, computer au TV.
Sina tatizo kwenye kuona, naona vizuri kabisa tatizo ni haya maumivu yaani sina raha kabisa.
Naomba msaada wa kimawazo kwenu wataalam hapa jukwaani.
Ahsante.