Maumivu ya kufukuzwa kazi hayaelezeki

Maumivu ya kufukuzwa kazi hayaelezeki

Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Fany ujiajir
 
Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Bora hata wewe uliewahi kuajiriwa
 
Jiajiri kwa kazi ndogo ndogo
FB_IMG_1730567156865.jpg
 
Pole
1)lakini ujuzi wako haujaondoka bado unao.
2)mikono yako haijakatika,miguu yako ipo,akili yako ipo ,nguvu zako zipo
3)Ofisi ya watu wenye ofisi ndio wana maamuzi kulingana na mikataba,hata mtetea vifaranga vikikua vikubwa hutafuta namna ya kujitegemea vyenyewe bila kutegemea mtetea mama yao.
Wewe umekuwa mkubwa ukipambana kwa nguvu,ujuzi,akili,mikono yako Mungu atakubariki unaweza ukaja kufungua kampuni yako ukaajiri watu.Tumia kipaji na ujuzi wako Mungu aliokupa.Kama uliweza kupata kazi hapo upo uwezekano wa kupata kazi kwingine kama ulivyopata hapo.
4)Kama ofisi ingefilisika au ingekufa au ingeungua moto bado ungebaki kufanya kazi kwenye majivu ya ofisi iliyoungua /au filisika jibu ni hapana,hizo ni changamoto ambazo sio wewe wa kwanza kupitia na sio wa mwisho.Na huo sio mwisho wa maisha.Unaweza kusonga mbele bila hiyo ofisi mana mwanzo uliishi kabla hujapata hiyo ajira si ulikuwa na maisha kabla ya kuajiriwa hapo.
 
Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Hebu nyoosha maneno. Umefukuzwa kazi au umesimamishwa kazi??. Kiswahili ni kigumu.
Halafu kuwa mjasiri na utuambie ni kwa kosa gani?
 
Back
Top Bottom