Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
Kweli kikubwa kutokukata tamaaPole mkuu Dunia Ina mambo mengi ya kuumiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kikubwa kutokukata tamaaPole mkuu Dunia Ina mambo mengi ya kuumiza
Hii uliipata au ulisukumiziwa?
Kama uliipata basi utapata tena hata iliyo zaidi, na hata usipopata mlango mwingine utafunguka
Asante mkuuHii uliipata au ulisukumiziwa?
Kama uliipata basi utapata tena hata iliyo zaidi, na hata usipopata mlango mwingine utafunguka.
Ishu sio ukubwa wa kampuni na kuwa kuwa na brqnch kila mkoa. Hata kama ingekua kila kata, kaz kama sio ya baba ako tunachoangalia kwanza ni maslahi.Roho inaniuma kampuni ilikua kubwa sana Ina branches Kila mkoa nitapata wapi kazi nzuri zaidi ya hiyo
WordHii uliipata au ulisukumiziwa?
Kama uliipata basi utapata tena hata iliyo zaidi, na hata usipopata mlango mwingine utafunguka.
Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Hili ni swali la msingi sanaImekuwaje hadi ufukuzwe ktk nyakati ambazo bado kazi unaihitaji, hebu tufafanulie
Tena asichague kazi.Usikate tamaa kama umri wako Bado ,vuta pumz Anza upya,jichanganye na watu itakusaida kukutoa katika wimbi la mawazo nk
Sababu ya kufukuzwa mpaka Sasa sijui boss alianza kunichukia bila sababu Kwa makosa madogo madogo Mungu amlaani huko alipoImekuwaje hadi ufukuzwe ktk nyakati ambazo bado kazi unaihitaji, hebu tufafanulie
Sio rahis ila hakuna jibu lingine la kupata unavyotafuta mbadala wa kuajiriwa. Ni ngumu kuelewa na kukubali, ila kama kun jibu lingine nje ya hili pia litamfaa aliseme hapa tumshauriUnafikiri ni rahis ki namna hiyo?
Sababu huijui halafu unasema tena makosa madogo madogo. Haba na haba vya makosa vimekujazia kibaba. Shukuru Mungu uendelee na MengineSababu ya kufukuzwa mpaka Sasa sijui boss alianza kunichukia bila sababu Kwa makosa madogo madogo Mungu amlaani huko alipo
Kaka mbona unanicheka tena Right Way In LightNipo napambana na cheti changu kama una connection nisaidie hata ya cashier
Mkuu wewe zingatia jambo 1 mbali na hizo connection etc u have a pottential, na hata watu wasipoiona, itafika mahala mtaa utakulazimisha wewe mwenyewe kuiona ndani yako na utajutia sana kupoteza muda uliotumia kuwashawish watu waione pottential ulionayo.Nipo napambana na cheti changu kama una connection nisaidie hata ya cashier
Sijakucheka kwa ubaya, nimecheka kwakua hata mimi nilishakua na mtizamo kama wako mpaka nilipokuja kujua kuwa i can just do things by my ownKaka mbona unanicheka tena Right Way In Light
Ahsante bro, kwa sasa naanza kujifunza coding online ili niweze kuchangamkia fursa zilizopoMkuu wewe zingatia jambo 1 mbali na hizo connection etc u have a pottential, na hata watu wasipoiona, itafika mahala mtaa utakulazimisha wewe mwenyewe kuiona ndani yako na utajutia sana kupoteza muda uliotumia kuwashawish watu waione pottential ulionayo.
Maadam pumzi ipo, jua tu ur day is comming around the corner.
Makosa hamna mkuu usinihukumuSababu huijui halafu unasema tena makosa madogo madogo. Haba na haba vya makosa vimekujazia kibaba. Shukuru Mungu uendelee na Mengine
Kabisa Tena,apige Kaz Kaz yyte ad atakapo pata Kaz ya hadhi yakeTena asichague kazi.
Dah bro natamani nije inbox tuyajengeSijakucheka kwa ubaya, nimecheka kwakua hata mimi nilishakua na mtizamo kama wako mpaka nilipokuja kujua kuwa i can just do things by my own