Qboi96
Senior Member
- Dec 12, 2022
- 100
- 655
NI MAPENZI, WEWE ULICHANGANYA MAPENZI NA KAZI.Sababu ya kufukuzwa mpaka Sasa sijui boss alianza kunichukia bila sababu Kwa makosa madogo madogo Mungu amlaani huko alipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI MAPENZI, WEWE ULICHANGANYA MAPENZI NA KAZI.Sababu ya kufukuzwa mpaka Sasa sijui boss alianza kunichukia bila sababu Kwa makosa madogo madogo Mungu amlaani huko alipo
Sababu ya kuliwa kichwa?.Roho inaniuma kampuni ilikua kubwa sana Ina branches Kila mkoa nitapata wapi kazi nzuri zaidi ya hiyo
Pole sana kula PanadolHabari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Ulitokaje mkuuHii hali iliwahi kunikuta mwezi wa nne
Kweli ningeteseka sana an...Nilikwambia ujenge geto lako, ona sasa umefukuzwa kwenye geto la shangazi!!!
Una bahati mimi nipo, ungeteseka sana we nyau na umalaya wako.
Una bahati sana malaya mkubwa wewe.Kweli ningeteseka sana an...
Assume tuu ile siku na wewe usingepatikana sijui ningeenda wapi
Ungeeleza KAZI ulikuwa unafanya kitengo Gani?Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
😂😂😂😂 Tena isiwe nje ya mji tafadhari nakuombaUna bahati sana malaya mkubwa wewe.
Sasa hivi nataka nikujengee apartment yako ujinafasi.
Mfyuuu muone chogo lile...😂😂😂😂 Tena isiwe nje ya mji tafadhari nakuomba
Mi kuleta videmu uwongo ila na mi nataka uhuru wangu humo ndani mi binadamu sio roboto...Mfyuuu muone chogo lile...
Nakujengea ndani ndani ili ukae kwa kutulia sio unaleta leta videmu vyako... unanijua nilivyo mkali.
Kukubali kilichotokea na kuendelea kupambana kwa namna nyingine kujikomboaUlitokaje mkuu
Daddy ulikuwa kimya sana toka janaKukubali kilichotokea na kuendelea kupambana kwa namna nyingine kujikomboa