Maumivu ya kufukuzwa kazi hayaelezeki

Maumivu ya kufukuzwa kazi hayaelezeki

Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Mkuu pole sana, jikung'unte vumbi usogee mbele.
 
Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Tatizo lako ulikuwa chawa mbona kawaida sana...sisi wengine tulishasepeshwa na tukakomaa mtaani sana sahivi ninavyokwambia aliyekuwa boss wangu ananikopa sana tu.
 
Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Mimi nakushauri kuwa USITHUBUTU KUSOGELEA CHAKULA MAHALA POPOTE TANGIA SAA HII.
 
Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Waeleze hasa wale CIVIL SERVANTS!
Wanatunyanyasa sana kwenye kutoa huduma! Wakisahau kodi zetu ndizo zinazowapa malazi, chakula na kuhudumia familia zao!
 
Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
2017 yalinikuta maumivu hayo. Tena nikiwa nje ya nchi. Hata hamu ya kula haikuwepo, Nilikonda nkawa mwembamba sana kwa siku chache sana. Lakn now nnafuraha cz nna company ya Contractor upande wa Mechanical and Electrical. Japo cjaanza kupata tenda lakn moyon nina amani.
 
Back
Top Bottom