conductor
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 811
- 681
Una akiri fupi iliyojifunga....YAAN UBORA WAKO UNAUPIMIA KWENYE kampuni local...afu unakuta MSOMI...yaani unalipwa sh ngp yakukupanikisha...HUNA akiri..unabebwa Tu...au NI kijana mdogo ..wako wapi waliokuwa MD UN, IKULU, BUNGEN, ICAP,ICAO, CCM, BOT? bado Tu unawaza hivyo vi tip vya diplomatic card, fuel id, na gar la kukodi..PAMBANA uwe na kampuni km hiyo ..pumbav kabisaRoho inaniuma kampuni ilikua kubwa sana Ina branches Kila mkoa nitapata wapi kazi nzuri zaidi ya hiyo