Maumivu ya ushabiki wa vita ya Urusi - Ukraine ni zaidi ya mpira

Maumivu ya ushabiki wa vita ya Urusi - Ukraine ni zaidi ya mpira

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Ni siku ya tatu tangu kuanza kwa counteroffensive attack katika mji wa kherson na leo wameanza na Kharkiv, kwa kweli mimi kama team Russia kuna muda hata kuingia Twitter naogopa mana upepo sio mzuri sana upande wetu.

Wasiwasi wangu ni kua huenda NATO wameamua kupeleka jeshi kimya kimya mana sasa upande wa Ukrain umekua wa moto sana. kuna muda nakosa raha kabisa.

Kwakweli Russia wakirudishwa nyuma itakua fedheha sana ama team NATO/Ukraine ni wengi sana mtandaoni. Kuna muda nasema nisiingie kabisa mtandaoni kufatilia taarifa hizi ila inakua ngumu.

Binafsi sina chuki na nchi ya Ukraine wala wa Ukraine ila sipendi chokochoko za Marekani/NATO kujifanya ndio mbabe wa dunia kutaka kila mtu amuabudie ikiwemo kuleteana sera za ajabu kama hawa LGBTQHEUYGDEIEWIUSHIT.
 
Ni siku ya tatu tangu kuanza kwa counteroffensive attack katika mji wa kherson na leo wameanza na Kharkiv, kwa kweli mimi kama team Russia kuna muda hata kuingia Twitter naogopa mana upepo sio mzuri sana upande wetu...
Tumia kiswaswadu tu
 
Ni siku ya tatu tangu kuanza kwa counteroffensive attack katika mji wa kherson na leo wameanza na Kharkiv...
Miaka mingi Sana imeepitaa 'uaaaa' sauti nyingi Sana zimesikika 'aiii'
 
Uraaaa Russia [emoji635] haiwezi kupigwa Kabisa, tena Ukrainian itasakafiwa kabisa walahi niamini!
Uraaaa [emoji635]
 
Ya Tanzania tuu yanatushinda tuanze kuumizwa na ya Urusi na Nato kweli?
 
Ni siku ya tatu tangu kuanza kwa counteroffensive attack katika mji wa kherson na leo wameanza na Kharkiv, kwa kweli mimi kama team Russia kuna muda hata kuingia Twitter naogopa mana upepo sio mzuri sana upande wetu.

Wasiwasi wangu ni kua huenda NATO wameamua kupeleka jeshi kimya kimya mana sasa upande wa Ukrain umekua wa moto sana. kuna muda nakosa raha kabisa.

Kwakweli Russia wakirudishwa nyuma itakua fedheha sana ama team NATO/Ukraine ni wengi sana mtandaoni. Kuna muda nasema nisiingie kabisa mtandaoni kufatilia taarifa hizi ila inakua ngumu.

Binafsi sina chuki na nchi ya Ukraine wala wa Ukraine ila sipendi chokochoko za Marekani/NATO kujifanya ndio mbabe wa dunia kutaka kila mtu amuabudie ikiwemo kuleteana sera za ajabu kama hawa LGBTQHEUYGDEIEWIUSHIT.
Kwamba hupendi ubabe wa USA/NATO ila unapenda ubabe wa Russia, si ndiyo?.
 
Back
Top Bottom