Maumivu ya wamiliki wa European cars!

Maumivu ya wamiliki wa European cars!

Hebu tuambie ukweli uliagiza au ulinunua mkononi mwa mtu?

1. Maana DLE siyo gari ya 2021.

2. 8m? Ulinunua spea gani za bei hiyo? Hata engine na Gearbox zinaweza zisifike huko.

3. Oil leak ni matatizo ya kawaida kwenye European sababu seals ni nyingi. And seals mpya zipo zinauzwa.

4. Back then Aug 2021 niliwahi kuandika huu uzi kwamba gari za Ulaya hazitaki ubabaishaji. Hnaweza kupitia usome. Thread 'Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa' Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa

5. Kuna mtu ana X3 ni namba DXD, zaidi ya kumaliza brush za starter na kuua washer fluid motors zote mbili hajawahi pata tatizo lingine.,

Yapo mengi ya kuandika kwa kweli.
Ukitaka kuzitunza hizo washer fluid motors hakikisha unapoona warning light ya maji yake kupungua, ongeza maji ya wipers la sivyo zitakuwa zinakufa unaingia gharama kuzibadilisha.
 
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ulinunua shi ngapi???
 
Hebu tuambie ukweli uliagiza au ulinunua mkononi mwa mtu?

1. Maana DLE siyo gari ya 2021.

2. 8m? Ulinunua spea gani za bei hiyo? Hata engine na Gearbox zinaweza zisifike huko.

3. Oil leak ni matatizo ya kawaida kwenye European sababu seals ni nyingi. And seals mpya zipo zinauzwa.

4. Back then Aug 2021 niliwahi kuandika huu uzi kwamba gari za Ulaya hazitaki ubabaishaji. Hnaweza kupitia usome. Thread 'Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa' Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa

5. Kuna mtu ana X3 ni namba DXD, zaidi ya kumaliza brush za starter na kuua washer fluid motors zote mbili hajawahi pata tatizo lingine.,

Yapo mengi ya kuandika kwa kweli.
Ukimsoma vizuri kasema kalinunua kwa madalali pale Kinondoni Biafra....

Maana yake hakuliagiza wala hakulinunulia show room.

Anaweza akawa mtumiaji wa nne kwa hapa Bongo
 
Mtoa mada ni muongo tena uongo wake ni wakishamba na hii gari IPO Facebook inauzwa nashangaa jamaa anaharibu biashara za watu MTU mwenye akili timamu huwezi kupost utumbo alafu baadhi ya watu wanaamini Tu...
Sikuhizi kumeibuka watu kazi Yao ni kuanzisha mada alafu anasubiri comments ili moyo wake ufurahie.
Hapa jamiiforum wapo wengi wenye ujinga kichwani
Labda ni yeye ndo analiuza huko UsoKitabu...
 
Ukimsoma vizuri kasema kalinunua kwa madalali pale Kinondoni Biafra....

Maana yake hakuliagiza wala hakulinunulia show room.

Anaweza akawa mtumiaji wa nne kwa hapa Bongo
Screenshot_2023-02-02-18-09-01-580_com.android.chrome.jpg


haya ndio maelezo yake niliyoyaquote mimi, Unaweza kusoma kwenye screenshot uone hiyo gari mwanzo aliandika aliipata wapi kabla hajabadili maelezo.

By the way huu uzi ni changamsha genge tu.
 
View attachment 2503848

haya ndio maelezo yake niliyoyaquote mimi, Unaweza kusoma kwenye screenshot uone hiyo gari mwanzo aliandika aliipata wapi kabla hajabadili maelezo.

By the way huu uzi ni changamsha genge tu.
Doh Sikuona... Basi nimekuelewa kiongozi

Huyu jamaa kweli ni kiazi. Ulimkamata pazuri sana.

Nakutaka radhi
 
Why rawama kibao wakat unaweza ukanunua Toyota au Mazda ttzo la wamiliki weng wa magari hamjui kuudumia wala kutunza magari ndo maana lawama kla sku haziishi

Weng mmeanza kumiliki Toyota, Suzuki mazda sasa mnazan eurpoean car ni sawa na japanese car kitu ambacho kunakosea ata philosophical zao ni tofauti kbsa
 
Eti msala[emoji28][emoji28][emoji28], sema Dullah inaonekana una hasira sana na hizi BMW[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Nilinunua kwa madalali pale Biafra BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga luga mkoani huko gari haiuziki, Nani anataka msala?
Huku mkoani siku hizi hatununui magari ya kwenu,tumeshawashtukia,tunaagiza wenyewe kutoka nje,hilo unalo mkuu...
 
Back
Top Bottom