stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Mjapani anatusaidia sisi walala hoi kwa kweli,gari unapitisha service km 2000 ngoma bado inadunda tu,Engine oil unajiwekea tu unayotaka hakuna cha mashine kugoma wala nini,fanya ujinga huu kwenye magari ya Europe ndio utajua kuwa pombe sio chai...