JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Amesema amenunua mkononi kwa mtu hapa Tz mwaka 2021.
Mimi nilimquote mwanzo kabisa the moment amepost uzi. Angalia alichokuwa ameandika hapo, Aliandika aliagiza na siyo kununua kwa madalali kama alivobadiliaha sasa.
Mleta maada hayupo serious.