Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Kwa wale ambao hawajui maisha ya uswahilini, kuna vigoma vingi Sana watu wanapita wakiwa Na Madera (ndani chupi hakuna) wanacheza Na kujifunua uchi uchi. Kuna siku nilipita nikaona uchi Wa Malaya wanacheza aisee walikuwa uchi wa mnyama, zile nuksi nilizozipata mana nilikoswakoswa na magari,
Nimekutana na mtu kabeba mayai nimeteleza nikayaangukia yakapasuka alafu nilikuwa na elfu tano tu mfukoni, nikayalipia 3500/- yale mayai, nikachukua chenji yangu na nilipofika nyumbani ile chenji sikuwa nayo sijui niliangusha wapi. Nikaona isiwe zengwe nilivyoenda kulala niliota matondo ya ajabu ajabu mungu nakwambia lile liuchi la yule dada lilikuwa linanikimbiza usiku kucha. Kwa kweli wanaume wanaogonga Malaya wana roho ya jiwe….
Hawa wanawake wanajulikana ka majina mengi mfano videge john na wengi wamezaliwa miaka ya 2000 basi tu miili mikubwa. Kwa mazingira niliyoyaona Jana pande za manzese Kwa kweli nimeyawazia mengi kuhusu maadili ya watoto wadogo. Nimeona ya kuwa uswahilini kunazalisha majibu Sana na vizazi vipya vinajikuta kwenye makundi haya:
Unapita mitaa ya Uswahilini unakutana Na Mkeo Na Mwanao wako katikati ya kundi wanayakata mauno unafanyaje????
Nimekutana na mtu kabeba mayai nimeteleza nikayaangukia yakapasuka alafu nilikuwa na elfu tano tu mfukoni, nikayalipia 3500/- yale mayai, nikachukua chenji yangu na nilipofika nyumbani ile chenji sikuwa nayo sijui niliangusha wapi. Nikaona isiwe zengwe nilivyoenda kulala niliota matondo ya ajabu ajabu mungu nakwambia lile liuchi la yule dada lilikuwa linanikimbiza usiku kucha. Kwa kweli wanaume wanaogonga Malaya wana roho ya jiwe….
Hawa wanawake wanajulikana ka majina mengi mfano videge john na wengi wamezaliwa miaka ya 2000 basi tu miili mikubwa. Kwa mazingira niliyoyaona Jana pande za manzese Kwa kweli nimeyawazia mengi kuhusu maadili ya watoto wadogo. Nimeona ya kuwa uswahilini kunazalisha majibu Sana na vizazi vipya vinajikuta kwenye makundi haya:
- Mashoga
- Magonjwa ya zinaa
- Vibaka
- Walevi
- Malaya
- Ubakaji
- Ngono zembe
Unapita mitaa ya Uswahilini unakutana Na Mkeo Na Mwanao wako katikati ya kundi wanayakata mauno unafanyaje????