Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hii ni fikra potofu,mbona Iran wana msimamo na maendeleo makubwaMsimamo mkali wa Dini ni dalili za Ujinga na ukosefu wa Elimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni fikra potofu,mbona Iran wana msimamo na maendeleo makubwaMsimamo mkali wa Dini ni dalili za Ujinga na ukosefu wa Elimu.
Kwanza muulize yeye hiyo elimu yake hapa tanzania na rasilimali zote zilizomzunguka imemsaidia nini zaidi ya kuhangaika kuajiriwa tu.Hii ni fikra potofu,mbona Iran wana msimamo na maendeleo makubwa
Wayahudi wanatumia torah siyo Bible.Ila akina Netanyau huinukuu BIBLIA na sio hicho kitabu chenu cha kigaidi.
Hata hajui kitu zaidi ya kuropoka, na hajui kwamba waislamu ni wengi 21%kuliko wakristo israel ambao ni 2% tatizo la tanzania ni elimu duni watu hawawezi hata kufikiriaWayahudi wanatumia torah siyo Bible.
Acha uwongo. Nimekaa siku kadhaa Dubai wakati wa mfungo, sikushuhudia huo ujinga.
Hakuna airport yenye duka kubwa la vileo na wateja wengi, kama Dubai, jambo ambalo sikulitarajia.
Kahadithiwa tu au kaenda mara moja anajifanya anajua kila kituInaonekanwa Hupajui vizuri Dubai mkuu
Unataka tena tubebe mapanga tuwatie adabu mkimbilie Baharini?!wananitawala maana nawatuma hapa kunipalilia mashamba
wacheni uongo na kupakazia udini ati kwa sababu ya uislamu. Utamaduni wa watu uko sehemu nyingi duniani na hauathiri utaliil. Zanzibar issue ni kuwa hawajajipanga kupokea watalii wengine kihivyo, hawana huduma za kutosha kupokea watu wengi kwa wakati mmoja, na mpaka hapo watakapojipanga basi ndiyo utalii utafanikiwa.
Utalii siyo lazima uwe wa kuvaa vichupi barabarani.
Talking senseKinachoitese Zanzibar ni CCM.
Hawana Uwezo wa kupokea watalii wengi kwa pamoja
Sera mbovu za uwekezaji
Miundombinu mibovu
Lack of promotion
Kodi kubwa zisizo rafiki
Nani alikuambia chama changu ni CCM?Huyo si ndiye mliyemleta ninyi? Tambua kuwa nafasi ya Zanzibar kwenye muungano baada ya mfumo wa vyama vingi, ni umakamu wa Rais. Na huyo makamu wa Rais anapatikana kwa majadiliano ndani ya hicho chama chenu cha CCM. Kwa hiyo huyu ambaye aliupata Urais kutokana na kifo, ni mapendekezo ya chama chenu huko Zanzibar. Leo mnamkana?
Mkataeni kuwa siyo mzanzibari. Watanganyika watampa uraia alimradi awaondoe waarabu wake aliowapa bandari na hifadhi zetu.
kwanza kabebe mapanga kumwondoa huyo sultani wenu Mbowe anayewalisha matango pori huku akijinywia gongoUnataka tena tubebe mapanga tuwatie adabu mkimbilie Baharini?!
Nani mwenye akili Zanzibar? Kama mngekuwa na akili mngeshindwa kupata hata umeme tu?
Zanzibar .na Tanganyika, sote hatuna kubwa la kujivunia, japo Tanganyika ina rasilimali nyingi na potential kubwa ya maendeleo.
Mbowe ni Mangi sio Sultani usituvunjie Heshima aisee!!!kwanza kabebe mapanga kumwondoa huyo sultani wenu Mbowe anayewalisha matango pori huku akijinywia gongo
Mbowe ni Mangi sio Sultani usituvunjie Heshima aisee!!!
Hivi yule Sultani wenu mpya baada ya Qaboos nae ni Shoga?Labda Manga maana akiona chupa ya gongo akili humvurugika
Hivi yule Sultani wenu mpya baada ya Qaboos nae ni Shoga?
Ahaaa!!! Kumbe ni Shoga!Kampelekee boga lako utajua
Ahaaa!!! Kumbe ni Shoga!
Definition ya Ushoga ni kujihusha na mapenzi ya Jinsia moja 😁Kumbe ulisha mpa boga lako ??
Definition ya Ushoga ni kujihusha na mapenzi ya Jinsia moja 😁
Kwahiyo asante kwa kunijibu.