Ilikuwa ni mwaka 2014 nipo facebook, nilipost picha yangu kwenye group la "tafuta marafiki na mchumba", kulikuwa na comment nyingi za mabinti, nikachagua mmoja ambae nimevutiwa nae kwa kuangalia profile picha.
Mazungumzo yalianza rasmi kuanzisha urafiki na siku chache zijazo tukawa wachumba wa mitandaoni kilichobaki ni kuonana live.
Siku ikafika ya kuonana, nilichagua sehemu tulivu, kwa muda huo nilikuwa Mbeya, Kuna sehemu inaitwa Garden ipo pale kiwanja cha okoine, ni sehemu iliyowahi kuwa maarufu ila ikaja kupoa, nilifanya order mapema ya chipsi kuku huku namsubiri toto.
Basi binti akafika pale tukaenda kwenye vile vijumba vya nyasi kufanya mazungumzo, kila akifungua mdomo nikaanza kuona kuna ukungu wa njano kwenye meno, dah !! it was a turn off mazee, yani kila akifungua mdomo nikiona rangi najiuliza maswali mengi sana, hivi huyu suala la usafi vp ? hajui kupiga mswaki muda mrefu kuoga je ? huwa anaoga au ni passport ?
Yani kuna kipindi akasema tukiss ilikuwa ni mtihani mzito sana, nilisingizia tumbo limeanza kuniuma itakuwa ni chakula wacha niende chooni, nikarudi nikamwambia tumbo linaima labda kesho tukutane tutaenda hotel nzuri zaidi.
Nikampa elf 10 ya nauli, baada ya hapo nilitumia mikakati yangu ya exit strategy ikawa imeisha hivyo
Mazungumzo yalianza rasmi kuanzisha urafiki na siku chache zijazo tukawa wachumba wa mitandaoni kilichobaki ni kuonana live.
Siku ikafika ya kuonana, nilichagua sehemu tulivu, kwa muda huo nilikuwa Mbeya, Kuna sehemu inaitwa Garden ipo pale kiwanja cha okoine, ni sehemu iliyowahi kuwa maarufu ila ikaja kupoa, nilifanya order mapema ya chipsi kuku huku namsubiri toto.
Basi binti akafika pale tukaenda kwenye vile vijumba vya nyasi kufanya mazungumzo, kila akifungua mdomo nikaanza kuona kuna ukungu wa njano kwenye meno, dah !! it was a turn off mazee, yani kila akifungua mdomo nikiona rangi najiuliza maswali mengi sana, hivi huyu suala la usafi vp ? hajui kupiga mswaki muda mrefu kuoga je ? huwa anaoga au ni passport ?
Yani kuna kipindi akasema tukiss ilikuwa ni mtihani mzito sana, nilisingizia tumbo limeanza kuniuma itakuwa ni chakula wacha niende chooni, nikarudi nikamwambia tumbo linaima labda kesho tukutane tutaenda hotel nzuri zaidi.
Nikampa elf 10 ya nauli, baada ya hapo nilitumia mikakati yangu ya exit strategy ikawa imeisha hivyo