Mauzauza yamenikuta chumbani kwangu

Kama hivi?
 
Ulivyosimulia kama nyoka alitaka kukupa maromance hivi[emoji23] [emoji23]
 
shot tu hiyo mkuu, hahaaah niliwah kukutana na mchezo kamili, mwaka 2000 kuna jirani aliniachia nyumba yake niwe namchungia wakati yeye ameenda kwao likizo, nilikuwa bado niko sec, sasa mida ya night taa haziwaki hata uwashe kwa nyundo,,unawasha mshumaa, ikifika mida ya kupati sasa, mshumaa unainuka unaenda bafuni, unatoka, unaingia stoo unatoka unaingia chumba cha pili unatoka hadi nje unarudi tena ndani, ukisimama tuu, unazimwa, ukirudi kulala unawashwa tena, ikawa kazi ndio hiyo, sikuwa naogopa baada ya kujua kwamba siko pekeyangu mle ndani, mpaka mwenyewe aliorudi, alikuwa ni mdada mzuri sana, mpaka hivi nahisi hata uwezo wa kuzaa unakaribia kikomo, sijawahi kumuona mapenzini...namhusisha na vile vituko, ipo namna tu
 
wadada wazur hawanaga uchawi bhana
 
Huyo ni jini mahaba katika umbo la nyoka
 
Jiangalie vizuri usishangae huna rinda hapo ulipo [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…