ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Hata kama kingekuwa cha kumsifu.
Wabongo wanasoma?
Wabongo wanasoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah,wakupe maua yako,watu mnamanenooo!.Vijana kwa wazee, waliowahi kumchukia Hayati Magufuli, ni wapuuzi, wezi, mafisadi na wauza madawa, nani mwenye akili timamu ashadadie kijigazeti cha kijinga hicho?
Kila atakayekupendwa na watu dizaini yao, lazima awe kama wao, akubali nchi itafunwe, iwe jalala la madawa ya kulevya, wajinga wote walio kwenye msululu huo, awape uwaziri hata kama hamnazo!
Upuuzi huo uishie kwa wanaume wa Dar!
Umeona eeeeDaaah,wakupe maua yako,watu mnamanenooo!.
Haya nenda kabadilishe pads, uoshe K kisha wanaume wa Dar wakushughulikie wewe dadaUpuuzi huo uishie kwa wanaume wa Dar!
Wanasoma balaaHata kama kingekuwa cha kumsifu.
Wabongo wanasoma?
Wanasoma balaa
Wanaume wa Dar wamshughulikie? Unazungumzia wanaume wa dar hawa hawa wanaosemwa kila siku, au kuna wengine?Haya nenda kabadilishe pads, uoshe K kisha wanaume wa Dar wakushughulikie wewe dada
WENGINE ndo hao ,wanajifanya wanajua uongozi,mwisho wa siku wanaingiza nchi kwenye mgaoHuwezi kumchafua mtu aliejenga nchi yake kwa moyo wa dhati...angalia project alizoacha...
Sasa waulize hao wanaojiita waandishi wa habari na masponsor wao wameifanyia nini nchi?...
Ndio maana hao wanaojiita wahariri..Meena na wenzie ni takataka tu chini ya jua hili...
Uko sahihiWENGINE ndo hao ,wanajifanya wanajua uongozi,mwisho wa siku wanaingiza nchi kwenye mgao
Yes, they are back so what? Baadhi ya watanzania wamekuwa kama misukule wanashabikia maovu. Si kwamba kurudi kwao kuna faida kwa wananchi. Samia kwa sasa anajiendea kama mfa maji hajui pakushika, kila sehemu ni pa Moto. Hii strategy aliyokujanayo ya mara kuwapa watu vyeo hadi wengine unaibu waziri mkuu na huku akiwarudisha wateseji wa watu kundini inaweza kuipasua CCM zaidi kuliko kuwakomoa wapinzani. Mbaya zaidi wananchi wengi watamchukia, msimdanganye mitandaoni.Paul Makonda is back
General Sabaya is back
Chukuwa maua yako. Hapo ndipo tulipofikia WatanzaniaNasikitika kwa jinsi CCM ilivyofanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kuwafanya misukule wafuasi wake.
Karne hii ni ya kushadadia kweli watu wanaotumia manguvu mengi bila akili hata kidogo!!??
Pole sana kwa kuwa mfano hai wa mafanikio ya CCM ya kutengeneza mazuzu wengi.
Takataka ya Ufipa StreetHiyo takataka hakuna mtu anasoma.
Hangaya atakinunua na kukisambaza bure vituo vya daladala.
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
TakatakaI believe the book is worth reading
Toilet peparMkuu kinapatikana wapi na Mimi nikakinunue?
Nadhani watu wasiogope kukinunua, wakinunue wakisome ili wajue ukweli ulio ndani yake.
Tusisahau Hayati Magufuri pamoja na Mazuri mengi aliyofanya, alikuwa binadamu, alikosea!
Hakuna Rais asiyekosea, Nyerere alifanya mazuri lakini alikosea, Mwinyi alifanya mazuri lakini alikosea, hali kadharika Mkapa na Kikwete!
Kila Mtanzania anayekisoma atashangaa kama hicho kitabu kimeandika mabaya ya Hayati JPM bila kuangalia Mazuri mengi aliyofanya!