Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Siwezi kupoteza muda kusoma uchafu wa mashoga ya wazungu
Usiposoma wengine watasoma, siyo lazima wewe ukisome. Hao mnaowaita mashoga wala hata hawana habari na nyie. Tumieni akili propaganda za uongo wa kishamba wakati wake umepita, wenye akili watakuchekeni.
 
Vijana kwa wazee, waliowahi kumchukia Hayati Magufuli, ni wapuuzi, wezi, mafisadi na wauza madawa, nani mwenye akili timamu ashadadie kijigazeti cha kijinga hicho?

Kila atakayekupendwa na watu dizaini yao, lazima awe kama wao, akubali nchi itafunwe, iwe jalala la madawa ya kulevya, wajinga wote walio kwenye msululu huo, awape uwaziri hata kama hamnazo!

Upuuzi huo uishie kwa wanaume wa Dar!
Taabu ya wenye ufinyu wa kufikiri ni kukaririshwa mambo na kuvimba nayo. Kama ulimpenda wewe inatosha, usiwasemee wengine. Pengine wewe ndiye mpuuzi kuliko hao unaowaita wezi na mafisadi.
 
Usiposoma wengine watasoma, siyo lazima wewe ukisome. Hao mnaowaita mashoga wala hata hawana habari na nyie. Tumieni akili propaganda za uongo wa kishamba wakati wake umepita, wenye akili watakuchekeni.
Paul Makonda is back
General Sabaya is back
 
Sio kila kitabu nichakuuza, vingine vipo kwa ajili ya kufikisha ujumbe au taarifa kwa walengwa. Kwa sababu maandishi yataishi muda mrefu, kwa hiyo wewe unayadharau sasa, ila yatasomwa miaka mingi ijayo.
Inategemeana na aina ya maandishi
 
Paul Makonda is back
General Sabaya is back
Nasikitika kwa jinsi CCM ilivyofanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kuwafanya misukule wafuasi wake.
Karne hii ni ya kushadadia kweli watu wanaotumia manguvu mengi bila akili hata kidogo!!??
Pole sana kwa kuwa mfano hai wa mafanikio ya CCM ya kutengeneza mazuzu wengi.
 
Ila mnampenda sana Marehemu. Yule jamaa angewageuza marehemu kama Mchungaji Mackenzie.

Natafuta kile kitabu nikisome, ule upembuzi uliopoatiwa hapa jukwaani ulikua murua sana.
Kilichozungumzwa mle ni facts tupu kwa ile session Moja TU niliyosoma
Kwa mtaxamo wako
 
Kitabu ni hot cake kimeisha madukani. Bei 22,000 na hakipo
 
Back
Top Bottom