EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Umekisoma?Takataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekisoma?Takataka
Haaaaa hiyo research uliifanyia wapi !.
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Wewe umenunua?Haaaaa hiyo research uliifanyia wapi !.
Nisome takataka? Ukininunulia hicho kitabu naenda kujifutia mavi chooniUmekisoma?
Kisa nini acha makasirikoNisome takataka? Ukininunulia hicho kitabu naenda kujifutia mavi chooni
Mkuu usiogope kuujua ukweli na Uongo!Toilet pepar
Fursa za chuki,uongo,uaji,majivuno,kusifu na kuabudu ndiyo zilikuwepo kwa wingi kipindi cha utawala wa jiwe.Huwezi kusoma kitabu cha kumchafua mtu halafu ukategemea uwe desicion maker au uko na taasisi private halafu utoboe.
Hata motivation speakers hawatumii mbinu hiyo. Mbinu ya chuki ni WAXHAWI tu ndio hutumia ndio maana HAWAFANIKIWI.
Duniani kote watu wanasema uwe na Positive Mind Attitude(PMA).
Bado nasema hivi aliyeandika HATOBOI. Witchcraft science hadi leo haisomeki. Yaani kama hakuona fursa kipindi cha JPM ni kipofu huyo. Hata hao wazungumza kiingereza aliolenga wamenunua copy ngapi? Wazungu wanasema Think positive yeye anasema the opposite ndio sawa. Rubbish
Tulia dawa ikuingieFursa za chuki,uongo,uaji,majivuno,kusifu na kuabudu ndiyo zilikuwepo kwa wingi kipindi cha utawala wa jiwe.
Watanzania siyo wajingaTulia dawa ikuingie