Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda


Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Wale wote wana shida mbeleni, wakifika mbinguni wataulizwa mmemsamehe Magu watasema ndiyo. Lakini ushahidi wao utaonyesha bado maana maandishi hayafutiki kabisa.
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
we ndio muuzaji wa hicho kitabu? Kenge katafute kazi ya kufanya siyo uzushi wa kipuuzi km huu
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe, kweli nyie mazuzu.
 
Kimesahaulika hadi kwenye orodha ya vitabu vilivyowahi kuchapwa TZ. Hakikuwa tofauti na toilet paper.
 
MIMI NDIO NAKITAFUTA KWELI ILI NIKISOME VIZURI, MAANA NILIKIFUATILIA KIDOGO KWENYE GAZETI LA MWANANCHI NIKAGUNDUA NI KIZURI NA KINANIFAA.
 
we ndio muuzaji wa hicho kitabu? Kenge katafute kazi ya kufanya siyo uzushi wa kipuuzi km huu
Sasa unapanic nini mkuu, amaukitukana watu ndio watanunua?.

Ebu niambie kama kuna paragraph Magu anazungumzia mikataba ya bandarizetu nikanunue nijue alisemaje.
 
Huwa nakisomaaaa, narudia. Ni kitabu kizuri sana. Kimemwanika Shetani hadharani. Dah, kweli Jiwe alikuwa zaidi ya ibilisi
 
Sasa unapanic nini mkuu, amaukitukana watu ndio watanunua?.

Ebu niambie kama kuna paragraph Magu anazungumzia mikataba ya bandarizetu nikanunue nijue alisemaje.
Ugekuwa na akili ungehoji zilichapishwa nakala ngapi? Zimeuzwa ngapi? Kwa muda gani? Malengo ni kuuza ngapi? Je watz ni wasomaji wa vitabu? Kile cha mkapa ziliuzwa nakala ngapi? Vinginevyo ni ukasuku na stress tu zinawasumbua
 
Ila mnampenda sana Marehemu. Yule jamaa angewageuza marehemu kama Mchungaji Mackenzie.

Natafuta kile kitabu nikisome, ule upembuzi uliopoatiwa hapa jukwaani ulikua murua sana.
Kilichozungumzwa mle ni facts tupu kwa ile session Moja TU niliyosoma
kama alituambia hakuna korona na wanachi kalibu wote tukaamini basi hakuna kipya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom