JackisonDubai
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 537
- 1,282
- Thread starter
- #261
Wanauziwa vilaza wachacheTeh teh!!
Anauziwa nani sasa dude
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanauziwa vilaza wachacheTeh teh!!
Anauziwa nani sasa dude
KabisaKwa hiyo wasubiri kiyama.
Wale wote wana shida mbeleni, wakifika mbinguni wataulizwa mmemsamehe Magu watasema ndiyo. Lakini ushahidi wao utaonyesha bado maana maandishi hayafutiki kabisa.
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
we ndio muuzaji wa hicho kitabu? Kenge katafute kazi ya kufanya siyo uzushi wa kipuuzi km huu
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe, kweli nyie mazuzu.
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
ni shoga wa kina nani.Siwezi kupoteza muda kusoma uchafu wa mashoga ya wazungu
we ndiyo takataka, kile kitabu kinatafutwa hakipatikani kinachapichwa upyaHiyo takataka hakuna mtu anasoma.
Tangu lini watz wakasoma vitabu serious. Kingetoka cha Wema au Jackie Wolper ndiyo kingeuza zaidi.Wanauziwa vilaza wachache
Wewe uh.aro labda ukamtolee kopi mkeo uliemzidi akili.we ndiyo takataka, kile kitabu kinatafutwa hakipatikani kinachapichwa upya
KabisaKwa hiyo wasubiri kiyama.
Sasa unapanic nini mkuu, amaukitukana watu ndio watanunua?.we ndio muuzaji wa hicho kitabu? Kenge katafute kazi ya kufanya siyo uzushi wa kipuuzi km huu
Una utamaduni wa kusoma vitabu bwana hayawani?Hiyo takataka hakuna mtu anasoma.
Ugekuwa na akili ungehoji zilichapishwa nakala ngapi? Zimeuzwa ngapi? Kwa muda gani? Malengo ni kuuza ngapi? Je watz ni wasomaji wa vitabu? Kile cha mkapa ziliuzwa nakala ngapi? Vinginevyo ni ukasuku na stress tu zinawasumbuaSasa unapanic nini mkuu, amaukitukana watu ndio watanunua?.
Ebu niambie kama kuna paragraph Magu anazungumzia mikataba ya bandarizetu nikanunue nijue alisemaje.
Kweli kbsNa kwa upigwaji mnada huu wa bandari , kitabu ndiyo kitadoda kabisaaa
kama alituambia hakuna korona na wanachi kalibu wote tukaamini basi hakuna kipyaIla mnampenda sana Marehemu. Yule jamaa angewageuza marehemu kama Mchungaji Mackenzie.
Natafuta kile kitabu nikisome, ule upembuzi uliopoatiwa hapa jukwaani ulikua murua sana.
Kilichozungumzwa mle ni facts tupu kwa ile session Moja TU niliyosoma