SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Zinachapishwa nakala nyingine 1,000,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo njia ya fedha za mafisadi kurudi Kwa wananchiZinachapishwa nakala nyingine 1,000,000
Nilidhani huku kwetu bado hakijafika;
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Hamna agenti wa kukinunua na kukileta hukoNilidhani huku kwetu bado hakijafika;
Nimekuwa nikiulizia mara kwa mara kwenye maduka ya vitabu bila mafanikio. Mungu anipe uhai nikisome; nikiwa hai lazima nitakusoma hata wakipiga marufuku kama walivyokuwa wakifanya miaka ile.
Nakuahidi kitabu hicho kitakuja kuwa rejea muhimu kwa historia ya kisiasa ya nchi hii.Hiyo takataka hakuna mtu anasoma.
Fact.Magufuli deserves to be in hell and perish perpetually
Kwa nini asiwe nayo ?Punguza utoto MTanzania Gani huwa anasoma vitabu? Hiko kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kiingereza meaning wanalenga aina Fulani ya soko sio nyie wacheza singeli wa Tandika. Ni kama tu kitabu Cha Mkapa au Mwinyi unadhani hoehae kama wewe unaweza nunua nakala kwa elfu 80?
Msijipe umuhimu ambao hamna, hivyo vitabu kwa taarifa Yako wamenunua hao viongozi wa serikali na decision makers wa private sector maana ndio target market sio nyie wamachinga. After all hata kingekua kinamsifia JPM wewe una hiyo elfu 80?
Nakuahidi kitapigwa ban kisichapishwe Tena.Nakuahidi kitabu hicho kitakuja kuwa rejea muhimu kwa historia ya kisiasa ya nchi hii.
Sukuma Gang mtajibebaNdiyo njia ya fedha za mafisadi kurudi Kwa wananchi
Umepiga mnada mali za Musiba?Sukuma Gang mtajibeba
Hakika
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
This is biased analysis, kwani tunaosoma vitabu vinavyomkosoa Nyerere hatumpendi Nyerere? Kila mtu huwa yupo curious kujua pande mbili za watu.Hadi wafike wanunuzi 5m labda ipite miaka 3 ! Sasa hapo wauze kila mwezi vitabu 138! Hapo kila mwezi watapata 1.1m then wagawane kuanzia printing na authors zaidi ya wanne! Hapo watalamba elfu 50 kila mwezi!
Mantiki yangu hii si kazi ya biashara maana wanajua wasomaji ni wachache tena wenye chuki ila umma kwa mapana wanamkubali JPM na hawatosoma hayo makitu. Hii kazi ni sehemu ya projects za kushughulikia maiti wala sio CCM wala waliokuwa wasaidizi wake.
MTanzania Gani atoe elfu 80 kusoma kitabu? Vya Bure tu hawasomi sembuse Cha kununua. Hiyo bei Ina maana Wana specific class ya walengwa Ili wanunue wachache ila walete pesa nyingiKwa nini asiwe nayo ?
Nje ya mada. Kulwa Jilala unapenda sana kuhamisha magoliUmepiga mnada mali za Musiba?
Kwa vilaza kama wewe mnaoshikiwa akili kaburini chatoKitabu ni trash yaani taka taka.
Kwa mwerevu km ww unayepelekewa M O T O lumumba..HIJO DE PUTA CABRON!Kwa vilaza kama wewe mnaoshikiwa akili kaburini chato
Hakika mtu yule alikuwa mwovu na kwa kufa kwake Taifa lilitakasika.Kwa mwerevu km ww unayepelekewa M O T O lumumba..HIJO DE PUTA CABRON!
Kitabu kimefikia wapiHakika mtu yule alikuwa mwovu na kwa kufa kwake Taifa lilitakasika.