Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Bila ushahidi wa picha ya vitabu vikiwa vimejaa Bookshop bila kununuliwa, hiki ulichoandika kinabakia ni PUMBA tupu. Peeka pumba hizi wakale nguruwe au ndugu zako.

Weka ushahidi please
Tuonyeshe hiyo bookshop iliyojaza kitabu Cha kijinga namna hii
 
Utambue mtu huambiwa kilealicho kifanya wewe unaita kumchafua nikweli ,kwanza alikuwa anauwa elimu kabisa watu wanapo somabila kupata ajira elimu ilionekana nifashion tu kachukua Mali zawatu wengi tu kimabavu sasa wakiandika hizo sifa zamatendoyake wewe unaitakumchafua kwakweli hukukinatakiwa hata kopi lakimoja zitaisha tumsome dikteta magu
Sidhani kama umeelewa chochote
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Kinauzwa wap tukanunue. Au kina naniii wamenunua kopi zote
 
Tuonyeshe hiyo bookshop iliyojaza kitabu Cha kijinga namna hii
Mimi ndiyo nataka nyinyi watetezi wa DIKTETA Magufuli mnaosema kitabu cha "I am the state" kimedorora mauzo ndiyo muweke picha ya book shop inayoonyesha vitabu vimejaa bila kununulika.

He who alleges must prove (onus probandi actori incumbit)
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Masikini kina Kikwete na Mze Makamba, pole zao kwa kweli.
 
Dah,umegeuza kibao mara hii.Wewe si ulikubali ulifoji vyeti.Hebu nikuulize mkuu,forgery ni kosa la jinsi kufuatana na Sheria zetu au sio?

Anyway ninavyojua mimi Magufuli alisimamia Sheria za nchi,na ndio maana mafisadi,wezi na wafojivyeti ,wauza ngada nk.walimchukia sana.Mwananchi wa kawaida na watu wanaopenda haki ni kweli walimpenda sana Magufuli,kwa sababu walimuona kama mkombozi was Wananchi maskini kutoka kwenye umaskini uliosababishwa na mafisadi,wezi wa mali za umma nk.

Kwa mantiki hiyo sina shaka yeyote kwamba wewe ni mtu usiyependa haki,na yumkini ni fisadi au mwizi wa mali za umma.
Sheria gani Magufuri alisimamia?Kufoji uchaguzi na kupika data kura?Kubagua Wapinzani kwa misingi ya chama tawala ndiyo sheria?Kufanya Chato kuwa Ikulu ni sheria mkuu?Amani ya Tanzania kaivuruga balaa,katuletea watu Wasiojulikana,Ukabila,Ukanda,Uchama,Umimi,Ufalme na mambo mengi ya ajabu ambayo hayakuwahi kutokea Tanzania.Ahadi Kumi za Mwana TANU na Misingi ya Azimio la Arusha vinapingana 100% na uongozi wa Jpm pamoja na mtazamo wake kwenye nchi iliyokuwa na umoja wa ajabu kuliko nchi zote zinazotuzunguka.
 
Sheria gani Magufuri alisimamia?Kufoji uchaguzi na kupika data kura?Kubagua Wapinzani kwa misingi ya chama tawala ndiyo sheria?Kufanya Chato kuwa Ikulu ni sheria mkuu?Amani ya Tanzania kaivuruga balaa,katuletea watu Wasiojulikana,Ukabila,Ukanda,Uchama,Umimi,Ufalme na mambo mengi ya ajabu ambayo hayakuwahi kutokea Tanzania.Ahadi Kumi za Mwana TANU na Misingi ya Azimio la Arusha vinapingana 100% na uongozi wa Jpm pamoja na mtazamo wake kwenye nchi iliyokuwa na umoja wa ajabu kuliko nchi zote zinazotuzunguka.
Nimekuuliza swali naomba unijibu,kufoji cheti ni kosa la jinai au sio?
 
Forgery is a criminal case under our statues and there is penalties according to Law.
1.So why has the government paid criminals instead of persecuting them.
2.Doesn't this indicate that the Government of Samia is criminal by conspiring with criminals to steal government resources?
 
1.So why has the government paid criminals instead of persecuting them.
2.Doesn't this indicate that the Government of Samia is criminal by conspiring with criminals to steal government resources?
Ask yourself why the Government of CCM employed the workers who forged their Certificates for long time?And why when the operation of removing civil servants who forged their certificates left Military officers and Police Officers to enjoy National cake while many of them are forgeries people.
 
Ask yourself why the Government of CCM employed the workers who forged their Certificates for long time?And why when the operation of removing civil servants who forged their certificates left Military officers and Police Officers to enjoy National cake while many of them are forgeries people.
That is why I am saying the government is criminal,do you agree?
 

Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.

Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.

Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Sasa watanzania wamekipuuza vipi wakati mimi sijakisoma ili nipate kuamua kukipuuza au laa? Wewe ni sukuma gang kaa pembeni.
 
Sheria gani Magufuri alisimamia?Kufoji uchaguzi na kupika data kura?Kubagua Wapinzani kwa misingi ya chama tawala ndiyo sheria?Kufanya Chato kuwa Ikulu ni sheria mkuu?Amani ya Tanzania kaivuruga balaa,katuletea watu Wasiojulikana,Ukabila,Ukanda,Uchama,Umimi,Ufalme na mambo mengi ya ajabu ambayo hayakuwahi kutokea Tanzania.Ahadi Kumi za Mwana TANU na Misingi ya Azimio la Arusha vinapingana 100% na uongozi wa Jpm pamoja na mtazamo wake kwenye nchi iliyokuwa na umoja wa ajabu kuliko nchi zote zinazotuzunguka.
Magufuli deserves to be in hell and perish perpetually
 
Ndio maana hamuuziwi nyie makapuku kile kinasomwa na academicians na political class so wakipata wateja elfu 5 tu ni zaidi ya million 40!
Hadi wafike wanunuzi 5m labda ipite miaka 3 ! Sasa hapo wauze kila mwezi vitabu 138! Hapo kila mwezi watapata 1.1m then wagawane kuanzia printing na authors zaidi ya wanne! Hapo watalamba elfu 50 kila mwezi!

Mantiki yangu hii si kazi ya biashara maana wanajua wasomaji ni wachache tena wenye chuki ila umma kwa mapana wanamkubali JPM na hawatosoma hayo makitu. Hii kazi ni sehemu ya projects za kushughulikia maiti wala sio CCM wala waliokuwa wasaidizi wake.
 
The way you are writing, I doubt if you have read the book.

You are just judging the book by its cover. This is wrong for a GT like you...

Kitabu hakikuandikwa kwa wasomaji wa Tanzania. Kitabu kimeandikwa kumezesha Akili bandia na wale walioapa na wanaoapa kuendeleza Udhalimu dhidi ya Mtu mweusi. Period.
Kwa hili☝️☝️☝️how is that exactly?

Hivi mwandishi mwafrika kuandika kitabu kuelezea ubovu, udhaifu (weaknesses) za kiongozi mwafrika mwenzake tangu lini inakuwa ni udhalimu?

Hopefully huu ni mtazamo wako binafsi Kwa kadiri ya ufahamu na akili yako ilivyo..!
Naamini hata kingetafsiriwa kwa kiswahili, kingepata jicho na mtazamo huo huo unaosikika[uchafuzi] na hivyo ni Uchafu.
Acha hizo wewe. Hujakisoma kitabu na hata hujui kumeandikwa nini humo!!
Hakuna mtu mwenye akili anaweza kuamini uwongo, tena uwongo wa kutunga na kuunganishwa.
Kama upi kwa mfano..

Ndiyo. Jenga hoja Kwa mifano ili wasomaji wapime mwongo ni nani wewe au waandishi wa kitabu..

The better thing ni kuwa, Kila kitu kilichoandikwa humo kimetokea au kimefanywa na yeye (Hayati Magufuli) humuhumu Tanzania na wote tulikuwepo. Kwa hiyo kama si cha kweli, kila mtu atajua tu. So, let the book talk to itself..
Ukiondoa Jina la Magufuli na ukaweka la Amini, stori ni ile ile. Ukiweka jina la Mobutu Wazabanga Seseko badala ya Hayat Rais na ukaondoa Chato na kuweka gdabolite, stori bi ile ile!
Dispeakable.
Wote hawa kina Idd Amin Dada, Mobutu Seseseko na Magufuli wameshaandikiwa vitabu. There's absolutely nothing wrong..!
 
Back
Top Bottom