Mavazi dada zetu nyie

Mavazi dada zetu nyie

wepson

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
831
Reaction score
219
Habarini wana JF

Hapaleo ninashida ya kuongelea jambo moja.

Leo nipo ofisini kaja mdada mmoja nguo aliyovaa daah imeniacha bumbuaz yaani imemchora hadi .

Unaiona ilivyo sasa huu ndio utandawazi au kunakitu fulani kimejificha wanaume bado hatukitambui na mkikipata mtabadilika na kuvaa vizuri?
 
Habarini wana jf

hapaleo ninashida ya kuongelea jambo moja.Leo nipo ofisini kaja mdada mmoja nguo aliyovaa daah imeniacha bumbuaz yaani imemchora hadi .....Unaiona ilivyo sasa huu ndio utandawazi au kunakitu fulani kimejificha wanaume bado hatukitambui na mkikipata mtabadilika na kuvaa vizuri???

Eleza vizuri kwani ulijisikiaje?
 
Endelea kufanya kazi mkuu, fanya kama hajaona kitu maana "sikio la kufa haliskii dawa"
 
mkuu we endelea na kazi zako...hao wameshashindikana
 
Wewe mbona unakihere here kama Google!
Kila mtu anauhuru wakuvaa apendavyo
Mbona wanaume wapo ambao wanavaa sulwali za juu nipime chini nikadirie yaani inabana mpaka mboo inajichora alafu wewe leo hii wadada tu ndo umewaona, dunia hii ina mambo mengi ukisema uyafatilie yote unajikuta wafa hivihivi!!
Cc Khantwe njoo hapa ujionee ya dunia!!
 
Last edited by a moderator:
Wewe mbona unakihere here kama Google!
Kila mtu anauhuru wakuvaa apendavyo
Mbona wanaume wapo ambao wanavaa sulwali za juu nipime chini nikadirie yaani inabana mpaka mboo inajichora alafu wewe leo hii wadada tu ndo umewaona, dunia hii ina mambo mengi ukisema uyafatilie yote unajikuta wafa hivihivi!!
Cc Khantwe njoo hapa ujionee ya dunia!!

vimboroo venyewe vidunchu kama kidole
 
Wapo kwenye evolution ya kuelekea kutembea UCHI kama ilivyokuwa Stone Age...

hapaleo ninashida ya kuongelea jambo moja.Leo nipo ofisini kaja mdada mmoja nguo aliyovaa daah imeniacha bumbuaz yaani imemchora hadi .....Unaiona ilivyo sasa huu ndio utandawazi au kunakitu fulani kimejificha wanaume bado hatukitambui na mkikipata mtabadilika na kuvaa vizuri???
 
tukisema tuwaache tutakua tunakosea,inatakiwa kuukemea uovu wowote unaoinuka katika jamii ungeanzia hapo hapo kaka kumkemea.
 
Habarini wana jf

hapaleo ninashida ya kuongelea jambo moja.Leo nipo ofisini kaja mdada mmoja nguo aliyovaa daah imeniacha bumbuaz yaani imemchora hadi .....Unaiona ilivyo sasa huu ndio utandawazi au kunakitu fulani kimejificha wanaume bado hatukitambui na mkikipata mtabadilika na kuvaa vizuri???

Mwana tafuta japo kikozi utoke kidogo nje ya afrika, kwa ushamba wako utadisa kucha kutwa!
 
Back
Top Bottom