Mavazi dada zetu nyie

Mavazi dada zetu nyie

Attachments

  • 1408350395248.jpg
    1408350395248.jpg
    75.8 KB · Views: 322
Ya mini kupata v/tumbo kwa mtu timamu alieamua kuvaa hi yo, km ni muelewa ni kumwambia tu ukweli ......km atakuona mchawi unaingilia maisha achana nae..
 
Jamani jamani.........toka lini nanii ikiwa imejichora kwenye nguo ni zambi........?.......halafu hebu nieleze.......ilikuwa camel toe au pear.......?
 
mkuu hukufanikiwa kumpiga picha? maana usijekuwa unamsema tu mtoto wa watu!!!
 
Kwahiyo maisha ya ulaya mnaleta bongo hahahaaaaaaa du Biblia imeshasemaninyi ni viumbe dhaifu na tuishi nanyi kwa akili
SHINDWE WACHAFU NINYI
 
Kwahiyo maisha ya ulaya mnaleta bongo hahahaaaaaaa du Biblia imeshasemaninyi ni viumbe dhaifu na tuishi nanyi kwa akili
SHINDWE WACHAFU NINYI

Wewe ni meeeee.... Meeeee aka mbu.zi. Huna adabu mfyuuuuuu😡
 
miss chaga mbona umekuja juu, ina maana unawaunga mkono wadada wava-ao mavazi ya aina hiyo??

Naomba Jibu lako liwe katika mfumo wa NDIYO au HAPANA.

Ahsante!!
 
Last edited by a moderator:
@misschaga mbona umekuja juu, ina maana unawaunga mkono wadada wava-ao mavazi ya aina hiyo??

Naomba Jibu lako liwe katika mfumo wa NDIYO au HAPANA.

Ahsante!!
 
miss chaga mbona umekuja juu, ina maana unawaunga mkono wadada wava-ao mavazi ya aina hiyo??

Naomba Jibu lako liwe katika mfumo wa NDIYO au HAPANA.

Ahsante!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom