Mavazi dada zetu nyie

Mavazi dada zetu nyie

mleta mada haujatenda haki kabisaa, hapa sichangii kitu bila kuona picha!
 
Habarini wana JF

Hapaleo ninashida ya kuongelea jambo moja.

Leo nipo ofisini kaja mdada mmoja nguo aliyovaa daah imeniacha bumbuaz yaani imemchora hadi .

Unaiona ilivyo sasa huu ndio utandawazi au kunakitu fulani kimejificha wanaume bado hatukitambui na mkikipata mtabadilika na kuvaa vizuri?

Kavaa udhaifu wako vipi!!
 
huwa sivai ila napenda kuona wanavaa na hata marafiki zangu nawasapoti wavae hasa wenye mzigo mkubwa nyuma

aiyaaa, unaharibu sasa, inabidi na wewe uvae vifupi vya kubana, usiogope kama hauna mzigo nyuma mbele lazima utakuwa nao, wengine ugonjwa wetu manyonyo!
 
Utasema ya Wang aping mkuu? We fanya kama hakijatokea kitu endelea na kazi yako
 
aiyaaa, unaharibu sasa, inabidi na wewe uvae vifupi vya kubana, usiogope kama hauna mzigo nyuma mbele lazima utakuwa nao, wengine ugonjwa wetu manyonyo!

Aya nitabana nyonyo sasa wakati wanabana kalio mi nabana nyonyo
 
Miss chaga kote we unatetea kule kwa wananawake walevi umetetea, huku mnvaa zinabana mpaka papuchi inakuwa imejichora nako unatetea

Mtuache tufanye tunavyotaka si kutunyima nyima
 
Halaf miss chagga nikijaga ofisini kwako wakati unanyanyuka kunisindikiza huwa unashushashusha kimini chako unanikatia stimu ujue...Nikija tena wakati unanyanyuka kwenye kiti usishusheshushe tena banah wacha nifaidi niondie dukuduku..Ninaonaga soo kukwambia ila hope ukipita hapa utachange
 
Last edited by a moderator:
Wengine twawalaumu bure...tumshukuru Mungu kwa uumbaji maridadi.

Napendezwa sana na beautiful body-fit clothes za wadada.NAPENDA SANA.
 
Halaf miss chagga nikijaga ofisini kwako wakati unanyanyuka kunisindikiza huwa unashushashusha kimini chako unanikatia stimu ujue...Nikija tena wakati unanyanyuka kwenye kiti usishusheshushe tena banah wacha nifaidi niondie dukuduku..Ninaonaga soo kukwambia ila hope ukipita hapa utachange

Usijal sasa hivi nitakuwa napandisha juu kidogo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom