Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ewaaaaa..mambo si ni hayo? Ngoja nipange safari!
vimboroo venyewe vidunchu kama kidole
:A S wink::A S wink: olalaaa!! hoi kwa kicheko miss chagga..Una madongo ya ukwee
mtuache tena ukome kusema sema mfyuuu
kifaru kimekutana na jiwe
Hebu mtuache tupumue jamani, mara nguo za kubana, mara tunapiga kelele, mara magari yetu machafu, mara tuangalie rangi za chupi tunapoenda kwenye mgegedo, sisi tu jamani, hebu.......
Hayo mengine ni 'private' ukiacha la nguo za kubana.
Ila hili la kugeuza magari kuwa 'warehouse' tutalisema tena na tena ili mbadilike. Unakuta gari lina bidhaa zote zipatikanazo dressing table, midoli, nusu ya nguo za kabatini, viatu n.k., hapo hujapita shopping sokoni bado. Loh! Hata kama ni lako, hii sio haki kabisa.
Miss you sana Dr.........mbona sikuoni kwenye maikroskopu.........?
Hiv tanzania kuna sheria ya mavazi
leo benteke kaja ooh tunakunywa mpaka tunashindwa kuongea ... watu ache kabisa kabisa
Habarini wana JF
Hapaleo ninashida ya kuongelea jambo moja.
Leo nipo ofisini kaja mdada mmoja nguo aliyovaa daah imeniacha bumbuaz yaani imemchora hadi .
Unaiona ilivyo sasa huu ndio utandawazi au kunakitu fulani kimejificha wanaume bado hatukitambui na mkikipata mtabadilika na kuvaa vizuri?
afu wewe miss chagga ntakuchapa
daa huoni cha ajabu mtu papuchi limejichora tena halitamanishi wala nii Nakumbuka Nilikua na mpenzi wangu mzungu DUU nilishindwa kitu kimoja yeye alikua anavaa vizuri sana ila hasira mzee noma unaweza kimbia nikasepa GERMANY Kwa hiyo anayezani mi mtoa maada labda sijatembea asijidanganye kule kwanza wanawake wajiheshim sana hasa ujeruman na wanajua kupenda sana, nahata ukicheki wajerumani wanavyotokelezea ni tofauti na waMAREKANI KAMA MTU NABISHA ALETE HOJA YAKE HAPA wanawake wengi bongo wanaiga american style ndizo zinazofanya watuonyeshe MAPAPUCHI yao ya ajabuajabu hapa ShINDWA PEPO WA BAYAmkiukweli mi sioni la ajabu hapo coz mwanamke wa karne ya 19 ni tofauti na ss wa karne ya 21 eleweni na muende sawa na wakati. :A S clock:
na fimbo gani... nimezoea kuchapa na hela na fimbo ya nyama ile inayochapa ndani