Habarini wana jf
hapaleo ninashida ya kuongelea jambo moja.Leo nipo ofisini kaja mdada mmoja nguo aliyovaa daah imeniacha bumbuaz yaani imemchora hadi .....Unaiona ilivyo sasa huu ndio utandawazi au kunakitu fulani kimejificha wanaume bado hatukitambui na mkikipata mtabadilika na kuvaa vizuri???
mtuache tena ukome kusema sema mfyuuu
Jiwe limegonga mhusika?
Wewe mbona unakihere here kama Google!
Kila mtu anauhuru wakuvaa apendavyo
Mbona wanaume wapo ambao wanavaa sulwali za juu nipime chini nikadirie yaani inabana mpaka mboo inajichora alafu wewe leo hii wadada tu ndo umewaona, dunia hii ina mambo mengi ukisema uyafatilie yote unajikuta wafa hivihivi!!
Cc Khantwe njoo hapa ujionee ya dunia!!
toka huko
hapaleo ninashida ya kuongelea jambo moja.Leo nipo ofisini kaja mdada mmoja nguo aliyovaa daah imeniacha bumbuaz yaani imemchora hadi .....Unaiona ilivyo sasa huu ndio utandawazi au kunakitu fulani kimejificha wanaume bado hatukitambui na mkikipata mtabadilika na kuvaa vizuri???
hahahahah miss chagga TEAM vidole mupoooooo!!
hahahah tena atoke nduki bila kugeuka nyuma
vimboroo venyewe vidunchu kama kidole
Habarini wana jf
hapaleo ninashida ya kuongelea jambo moja.Leo nipo ofisini kaja mdada mmoja nguo aliyovaa daah imeniacha bumbuaz yaani imemchora hadi .....Unaiona ilivyo sasa huu ndio utandawazi au kunakitu fulani kimejificha wanaume bado hatukitambui na mkikipata mtabadilika na kuvaa vizuri???
Acha wehu ww hata kama unatumia fake ID punguza ujinga huu, hivi unashindwa kutumia hata tafsida.