MEING'ATI
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 1,212
- 1,012
Kabisa beste huwa wanonyesha hadi live. Huwa ni siku ya jumatatu kwa Raw na Jumanne kwa Smackdown. Na mechi kubwa huchezwa jumapili pia unaweza kupata kwa channel za free to Air ila imekuwa kazi kidogoLabda ufuatiliaji hafifu,nna dstv