Hata ulicho QUOTE hujakielewa nini kinazungumzwa.
wewe uliyeelewa embuelezea ulichoelewa.
ila shetani a.k.a Allah upatikana msikitini
Katika kitabu kiitwacho Mkweli
Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa
Mohamed Al- Kindy wa Muscut
Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na.
74.
Anamwijia mmoja wenu shetani
(Jini) katika sala basi anapuliza
(anampuliza) katika ma.ta.ko yake,
basi (yule mtu) inamuijia fikra ya
kuwa umemtoka upepo (kafusa) kijambo
naye haukumtoka, basi akiona
namna hiyo asiondoke (kwenye
sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka
upepo) au anuse harufu ( ya huo
upepo uliyomtoka, ndio aondoke).
Hii ndiyo kazi allah anayowafanyia waislam wakati wa kuswali misikitini,
Katika Sahihi Muslim vol. IV H.
2667, Sahihi Al Bukhari Vol Vii H.
6243, Sunan Abuw Daud Vol II H.
2152.
Hakika Allah amemkadiria kila mtu
kipimo chake cha zinaa, ambavyo
haikosi kutimia kwake.
Wewe unayefikiri kuwa utaepuka dhinaa kwa kufunika kucha mpaka macho ya wanawake imekula kwako!
na kwamujibu huo Allah ndiye anayeeneza ushoga na madhambi yote duniani.
Sasa cha kushangaza ni pale mweneza madhambi anapojifanya Kuhoji na kuhukumu wenye dhambi.