Mavazi ya kanisani balaaa...

Mavazi ya kanisani balaaa...

Status
Not open for further replies.
Imani moyoni kwako tu mambo ya mavazi muachie mvaaji mwenyewe .. unaweza kwenda church na suti ukitoka unapitia kadem kisa watu hawakuoni unahisi sio dhambi .. huyo alievaa nguo fupi akatoka akarudi nyumbani na bdao akaonekana mbaya .. wamasai wanaacha viungo vyao nje kama matiti na bado hawana zinaa kama watoto wa mjini .. cha muhimu tumia vizuri uhuru uliopewa na mungu maana dini zimekuwa perfume siku hizi ..

Mambo ya mvaaji mwache mwenyewe? Serious? Dini siyo rahisi hivyo ndugu yangu.
 
hapo ata me najua ila mavazi ya kuanzia kwenye shingo haijasema nahisi ilifanya hivyo ili ila jamii kwan namna wanavyoona ni sahihi kujisitiri ifanye kutokana na utamaduni uliopo

Kuna mwanaume yoyote anaeenda kanisani akiwa na nguo za ajabu( tuite nguo za chumbani/ pub/ beach )kama hiyo tuliyoonyeshwa hapo? Kwa upande wa mavazi, wanaume wakristo wanavaa vizuri sana kwa kujisitiri ila sijui kwa nini mama/ dada/ shangaz zao wanakubali kuwaacha wavae ovyo,yaani hili mimi siku zote hujiuliza ila sipati jibu.
 
Nani kasema mungu hupatikana kanisani.?

Mimi!
ila shetani a.k.a Allah upatikana msikitini
Katika kitabu kiitwacho Mkweli
Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa
Mohamed Al- Kindy wa Muscut
Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na.
74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani
(Jini) katika sala basi anapuliza
(anampuliza) katika ma.ta.ko yake,
basi (yule mtu) inamuijia fikra ya
kuwa umemtoka upepo (kafusa) kijambo
naye haukumtoka, basi akiona
namna hiyo asiondoke (kwenye
sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka
upepo) au anuse harufu ( ya huo
upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Hii ndiyo kazi allah anayowafanyia waislam wakati wa kuswali misikitini,

Katika Sahihi Muslim vol. IV H.
2667, Sahihi Al Bukhari Vol Vii H.
6243, Sunan Abuw Daud Vol II H.
2152.
“ Hakika Allah amemkadiria kila mtu
kipimo chake cha zinaa, ambavyo
haikosi kutimia kwake.
Wewe unayefikiri kuwa utaepuka dhinaa kwa kufunika kucha mpaka macho ya wanawake imekula kwako!
na kwamujibu huo Allah ndiye anayeeneza ushoga na madhambi yote duniani.

Sasa cha kushangaza ni pale mweneza madhambi anapojifanya Kuhoji na kuhukumu wenye dhambi.
 
Natanguliza smahani kwa wale wote ambao wataudhika....Nauliza hivi wasichana na wanawake kuvaa nguo fupi wanapoenda makanisani wakati waume hutinga suti ni mafundisho au kanisa laruhusu viguo hivo juu ya magoti...kwapa nje ...kubana makalio ..nk
Wanaotupoteza ni Wachungaji na mapadri.Wanasema vaa utakavyo,huo ndiyo ukisasa.
 
Mimi!
ila shetani a.k.a Allah upatikana msikitini
Katika kitabu kiitwacho Mkweli
Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa
Mohamed Al- Kindy wa Muscut
Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na.
74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani
(Jini) katika sala basi anapuliza
(anampuliza) katika ma.ta.ko yake,
basi (yule mtu) inamuijia fikra ya
kuwa umemtoka upepo (kafusa) kijambo
naye haukumtoka, basi akiona
namna hiyo asiondoke (kwenye
sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka
upepo) au anuse harufu ( ya huo
upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Soma Qur'an :33:59
 
Kuna mwanaume yoyote anaeenda kanisani akiwa na nguo za ajabu( tuite nguo za chumbani/ pub/ beach )kama hiyo tuliyoonyeshwa hapo? Kwa upande wa mavazi, wanaume wakristo wanavaa vizuri sana kwa kujisitiri ila sijui kwa nini mama/ dada/ shangaz zao wanakubali kuwaacha wavae ovyo,yaani hili mimi siku zote hujiuliza ila sipati jibu.

Wao ndio kivutio cha wao kwenda huko Kanisani !
 
kuna sketi zinaitwa sketi za penseli yaaani unaweza kuta nusu ya kanisa wadada wamevaa,ukiuliza ni fasheni, mapaja nje nje.
 
Ndio maana sasa ivi kesi za mapadri kuwazalisha kondoo wao. Madada a.k.a machangu wako bize makanisani maana wateja wako kibao.
 
hiki ndo kizaz cha mtu mweusi wa kike...zaman tulkuwa na generation ya the negro field now tuna house of negro
 
Katika Quran 19:83 “ Je, huoni ya
kuwa tumewatuma mashetani juu
ya makafiri wanaowachochea
kufanya mabaya?”

Allah Ndiye anayetuma mashetani wawakoseshe ili wakosee, waende pamoja na allah jehanam.

Mashetani wanawachochea makafiri kufanya mabaya, ndio maana wanaenda uchi Kanisani !
 
eti !...........wanashangaza sana hawa watu ?
Qur'an: 33:59.

Hizi aya za qur'an zilishuka kwa ajili ya ng'ombe jike la rangi ya manjano, na kwa ajili ya wadudu, na vichuguu ndio maana binadamu wakizifuata wanageuka misikule, Mazuzu, na mazezeta.
 
Mimi!
ila shetani a.k.a Allah upatikana msikitini
Katika kitabu kiitwacho Mkweli
Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa
Mohamed Al- Kindy wa Muscut
Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na.
74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani
(Jini) katika sala basi anapuliza
(anampuliza) katika ma.ta.ko yake,
basi (yule mtu) inamuijia fikra ya
kuwa umemtoka upepo (kafusa) kijambo
naye haukumtoka, basi akiona
namna hiyo asiondoke (kwenye
sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka
upepo) au anuse harufu ( ya huo
upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Hii ndiyo kazi allah anayowafanyia waislam wakati wa kuswali misikitini,

Katika Sahihi Muslim vol. IV H.
2667, Sahihi Al Bukhari Vol Vii H.
6243, Sunan Abuw Daud Vol II H.
2152.
“ Hakika Allah amemkadiria kila mtu
kipimo chake cha zinaa, ambavyo
haikosi kutimia kwake.
Wewe unayefikiri kuwa utaepuka dhinaa kwa kufunika kucha mpaka macho ya wanawake imekula kwako!
na kwamujibu huo Allah ndiye anayeeneza ushoga na madhambi yote duniani.

Sasa cha kushangaza ni pale mweneza madhambi anapojifanya Kuhoji na kuhukumu wenye dhambi.

Hata ulicho QUOTE hujakielewa nini kinazungumzwa.
 
Mashetani wanawachochea makafiri kufanya mabaya, ndio maana wanaenda uchi Kanisani !
Allah a.k.a shetani mkuu ndiye anaye
Watuma mashetani chini yake wawakoseshe unaowaita makafiri,
Wewe je? Uoni kwamba Allah a.k.a shetani ndiye msababishaji wa madhambi yote duniani?

2Na kwanini badala ya kuwalaumu watenda madhambi msimlaumu Allah anayewafanya watu wafanye madhambi?
 
Hata ulicho QUOTE hujakielewa nini kinazungumzwa.
wewe uliyeelewa embuelezea ulichoelewa.
ila shetani a.k.a Allah upatikana msikitini
Katika kitabu kiitwacho Mkweli
Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa
Mohamed Al- Kindy wa Muscut
Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na.
74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani
(Jini) katika sala basi anapuliza
(anampuliza) katika ma.ta.ko yake,
basi (yule mtu) inamuijia fikra ya
kuwa umemtoka upepo (kafusa) kijambo
naye haukumtoka, basi akiona
namna hiyo asiondoke (kwenye
sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka
upepo) au anuse harufu ( ya huo
upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Hii ndiyo kazi allah anayowafanyia waislam wakati wa kuswali misikitini,

Katika Sahihi Muslim vol. IV H.
2667, Sahihi Al Bukhari Vol Vii H.
6243, Sunan Abuw Daud Vol II H.
2152.
“ Hakika Allah amemkadiria kila mtu
kipimo chake cha zinaa, ambavyo
haikosi kutimia kwake.


Wewe unayefikiri kuwa utaepuka dhinaa kwa kufunika kucha mpaka macho ya wanawake imekula kwako!
na kwamujibu huo Allah ndiye anayeeneza ushoga na madhambi yote duniani.

Sasa cha kushangaza ni pale mweneza madhambi anapojifanya Kuhoji na kuhukumu wenye dhambi.
 
Kuna mwanaume yoyote anaeenda kanisani akiwa na nguo za ajabu( tuite nguo za chumbani/ pub/ beach )kama hiyo tuliyoonyeshwa hapo? Kwa upande wa mavazi, wanaume wakristo wanavaa vizuri sana kwa kujisitiri ila sijui kwa nini mama/ dada/ shangaz zao wanakubali kuwaacha wavae ovyo,yaani hili mimi siku zote hujiuliza ila sipati jibu.
kila mwanume awe mlinzi wa mwanamke huku nyumbani hasa wakati wa kwenda kanisani nadhani itasaidie
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom