bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Mtu yeyeto asiye upa heshima mwili wake katu hawezi kumpa heshima mtu yeyeto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada yako huyo, ohoo. Mjibu kwa staha hahahaaaa....biblia umeandika wewe au Mungu?
embu rudi kwenye mada acha mihemko!
Ana Miaka 65?!Dada yako huyo, ohoo. Mjibu kwa staha hahahaaaa....
Kha!Mtu yeyeto asiye upa heshima mwili wake katu hawezi kumpa heshima mtu yeyeto
Sijui ndio maana nimeulizaKwani kahaba anavaeje?
Wewe ndio ume panicHujaona nimekibold kifungu? Siyo maneno yangu hayo.
Mimi nimeuliza swali tu, nisome vizuri, usi-panic.
Kama. Bustani ya Eden sio??Tembea uchi kabisa mkuu
Asante mwalimuMalaya na michepuko Wana chance kubwa ya sana ya kuolewa sababu wanachance kubwa sana ya kupanua WiGo mkubwa sana wa kukutana na wanaume tofaut na wanawake watulivu.
Saa 1 jioni naitoa hapa hapaNaomba namba za huyo shouger yako mwaya.
Thank you, taja namba yako wakala akuweke maua yakoUjaelewa maana yake hamanishi ukiwa kahaba ni tiketi ya kwenda mbinguni bali waliokwenye dhambi wakiacha dhambi zao Huwa wanageuka kweli kweli kuliko ambao hawakuwa wadhambi.
Saa 1 usiku usikoseWeka picha yake apewe muongozo...
Embu weka picha tuone, maana Ulaya wanavaa hayo hayo kanisaniKwa tafsiri ya maadili ya jamii yetu hayo mavazi si ya kimaadili uvaliwa na makahaba ili kuvutia wanunuzi wa ngono.
Kila vazi utafsiri aina ya kazi ya mvaaji.
Kama Sio kahaba kwann uyavae
Usimhukumu MTU Kwa kumwangalia njeMavazi ni tafsiri ya tabia ya mtu
Alivyo nje mtu ndivyo alivyo ndani ulizia Wana saikolojia wa Tabia watakuambiaUsimhukumu MTU Kwa kumwangalia nje
Don't judge a book by its cover
NakaziaSiyo mavazi rekebisha kwanza tabia kwakua ni lazima ulianza kuharibika ndani kabla ya kuharibika nje
mavazi ya kikahaba hujaanza tu kuyavaa ghafla kabla hujaanza kuwa na tabia hiyo ya kika-haber
Kwani mavazi ya kikahaba ni yapi jamani, mbona mnanichanganya?
Je ni kweli mavazi ya kikahaba yanamfanya msichana kutopata mume?
Mbona wanawake wanaokaa uchi wameolewa sana mpaka na kuacha na kuolewa mara ya pili? Je, kupata ndoa ni lazima uvae mavazi kama staha?
Skia hii:
Shouger: Money Penny, nimeenda kuombewa kanisani nikaambiwa kupata mume nibadilishe mavazi nayovaa!
Money Penny: Kwani unavaa mavazi gani?
Shouger: Navaa suruali, skirt fupi, gauni za kuni shape, skirt ndefu, leggings, nikaambiwa nivue hayo mavazi ni ya kikahaba ndio maana wanaume wanaonifuata kama mvua, lakini hawako serious wanakuja kunichezea na kukimbia na mimi nataka kuingia kwenye ndoa sasa!
Lakini money penny mbona kuna makahaba wanavaa ovyo zaidi yangu lakini waliolewa, wakaolewa, na kuolewa na wameolewa hata zaidi ya mara 4? kwani shida ni nini wakati mimi sivai kama wao?
Kwani mavazi ya kikahaba ni yapi? ina maana mavazi ya kikahaba ndio yananikosesha kupata mume?
Haya njooni mumjibu mwenzenu na kumuongezea akili.