Naomba uweke screenshot ya post hiyo mkuu! Eti baba wa kiroho [emoji22][emoji22]Huyo manzi huwa anamtaja sana Kapola kwenye post zake. Anadai ni baba yake wa kiroho
Acha kunipa majukumu ya kijinga.Naomba uweke screenshot ya post hiyo mkuu! Eti baba wa kiroho [emoji22][emoji22]
Binafsi si muumini wa kanisa lake wala wahubiri wowoe wa kisasa ila POVERTY MINDEST itatumaliza watanzania.Nilipohoji kuhusu uvaaji wa mchungaji Tony Kapola kuna watu hususan wanawake walinivaa kwa ukali kwamba nina wivu niwaachie mchungaji wao, kwamba uvaaji wake ni wa kawaida, kwamba uvaaji wa kisasa kwa Watumishi wa Mungu sio tatizo. Binafsi niwaambie UTUMISHI WA MUNGU ni mgumu na unahitaji usiriaz kuliko wengi mnavyofikiri, Yohana alijinyima hadi kuvaa magunia na kula nzige jangwani mnafikiri utumishi ni mwepesi?
Tunarahisisha mno utumishi wa Mungu miaka hii ndio maana wahubiri nao wanahubiri injili mpya nyepesi ya kisasa iliyopakwa maneno matamu ya miujiza, utajiri na mafanikio, hawaihubiri ile injili pure ya Ufalme wa Mungu, ile ya kukemea dhambi kwa ukali wake.
Ndio maana tunaskia Watumishi wengine wanasema hata dukani sigara weka biashara sio ibada, wengine wanasema ndoa sikuiz sio mwili mmoja, wengine wameenda mbali na kusema pesa za majini sio haramu. Utumishi wa Mungu umeonekana ni simple tu hadi kina Irene Uwoya wanataka kufungua makanisa sasa huku bado miili imejaa tattoo.
Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi anahitaji Watumishi VIELELEZO KWAO WAAMINIO. Katika uvaaji, unenaji, utendaji na mwenendo mzima wa maisha kwa ujumla
Kwa Mungu hakuna usasa, sheria zake ni zile zile WAACHE DHAMBI NA KUNIABUBU
Mahubiri ya utajiri, pesa, miujiza na mahusiano yasitutoe kwenye mstari, Mungu sio mrahisi kama tunavyoaminishwa na Watumishi hawa wa kisasa
Tunapaswa kusali kwa imani, kutubu, kufunga na kuomba, Tunapaswa kumuogopa Mungu na kumuabudu kweli. Tunapaswa kuyaheshimu madhabahu yake. Tunapaswa kutambua Mungu ni mtakatifu hadhihakiwi wala kuchanganywa na aina yoyote ya uchafu
Nawasilisha.
Umenena vyema mkuu.Binafsi si muumini wa kanisa lake wala wahubiri wowoe wa kisasa ila POVERTY MINDEST itatumaliza watanzania.
Umeangalia TD Jakes, Joyce Meyer,Joel Osteen. Pastor Chriss walivyo smart? Au hata hauwajui
Does it matter content VS mavazi na tunaongelea mavazi ya umri wake kama kijana hajavaa kata K, hajavaa nguo zenye maandishi mabaya , hajavaa any thing inayosaire alarm
Yani unateseka na pastor anaehubiri , watu wakatoa sadaka willingly , na yeye anapendeza kweli tuko kizazi cha zama za chuma. Nimeamini ile makala inayosema maskini wanaongoza kwa chuki na roho mbaya (iko humu jukwaa hili itafute) . Let us critique things of " significance" sio hizi petty nonessentials.
Nimesikiliza mahibiri yake - really hata Muislam au asieamini anasaidika , ni spritual na yanalenga kumpambanua mtu kiuchumi na kiutashi. Unaposema tumuabudu Mungu wa Ukweli ni yupi? wewe ukiabudu wa ukweli tutaona kwa matunda ya roho njema, utu wema, nk - watu walipendeza tangu enzi za biblia .
Bado leo tunataka pastor avae suti ya kitenge ? it was good back then but who prevents them from looking smart? Aisee ushamba na umaskini wa fikra kwa kizazi hiki changanya na wivu ni formula mbaya sana ya kuua nchi. Au unatesekea na huduma gani mwenzetu? Kama unaamini utumishi ni kuvaa magunia , excellent vaa ila heshimu na wengine na choices zao. Heal from that trauma and belief mkuu , live and let others live si hawajakuaffect kwenye utafutaji wako.
Unajua how expensive nguo za mapadri ziko? Za wachungaji wengine wa makanisa ya protestant?
Elegance ya mtu inaashiriwa na smartness ya mavazi, clarity of mind na soul sasa kaa hapo uki judge watu kwa mavazi thinking you are holier than thou.
Pana famous quote yaweza kukusaidia "Always dress like its the best day of your life"
mkuu watu wana vihere here sana hapo anatafuta kuwa wa kwanza kupost jfUngesubiri upate picha ndio uanzishe uzi,
Kumbe huyu jamaa inawezekana sio mchungaji bali ni motivational speaker anayetumia motivations zake kupitia biblia.Alipokuwa Morogoro Kila siku Vazi lake lilikuwa ni Suti tu,Lakini alipohamia Dar es Salaam Mavazi yamebadirika,rejea Clip zake zilizompa Umaarufu zilikuwa na Mafunzo Mengi mazuri ya Maisha.!
Hutaki tuone ujinga wa ndugu yako mkuu[emoji23] [emoji23]Acha kunipa majukumu ya kijinga.
Sasa watu kama kina Joyce Meyer wapo smart namna Gani, mtu anayefundisha tattoo sio dhambi, hivi watu mnasoma Biblia Gani, Au ni mwendo wa kwenda tu, mmekuwa nyumbu sio?Binafsi si muumini wa kanisa lake wala wahubiri wowoe wa kisasa ila POVERTY MINDEST itatumaliza watanzania.
Umeangalia TD Jakes, Joyce Meyer,Joel Osteen. Pastor Chriss walivyo smart? Au hata hauwajui
Does it matter content VS mavazi na tunaongelea mavazi ya umri wake kama kijana hajavaa kata K, hajavaa nguo zenye maandishi mabaya , hajavaa any thing inayosaire alarm
Yani unateseka na pastor anaehubiri , watu wakatoa sadaka willingly , na yeye anapendeza kweli tuko kizazi cha zama za chuma. Nimeamini ile makala inayosema maskini wanaongoza kwa chuki na roho mbaya (iko humu jukwaa hili itafute) . Let us critique things of " significance" sio hizi petty nonessentials.
Nimesikiliza mahibiri yake - really hata Muislam au asieamini anasaidika , ni spritual na yanalenga kumpambanua mtu kiuchumi na kiutashi. Unaposema tumuabudu Mungu wa Ukweli ni yupi? wewe ukiabudu wa ukweli tutaona kwa matunda ya roho njema, utu wema, nk - watu walipendeza tangu enzi za biblia .
Bado leo tunataka pastor avae suti ya kitenge ? it was good back then but who prevents them from looking smart? Aisee ushamba na umaskini wa fikra kwa kizazi hiki changanya na wivu ni formula mbaya sana ya kuua nchi. Au unatesekea na huduma gani mwenzetu? Kama unaamini utumishi ni kuvaa magunia , excellent vaa ila heshimu na wengine na choices zao. Heal from that trauma and belief mkuu , live and let others live si hawajakuaffect kwenye utafutaji wako.
Unajua how expensive nguo za mapadri ziko? Za wachungaji wengine wa makanisa ya protestant?
Elegance ya mtu inaashiriwa na smartness ya mavazi, clarity of mind na soul sasa kaa hapo uki judge watu kwa mavazi thinking you are holier than thou.
Pana famous quote yaweza kukusaidia "Always dress like its the best day of your life"
Pambana kuweka misingi katika familia yako- na jibu hoja kwa hoja usitumie matusi nk ,jibu tu hoja kwa hoja- katu mwenye hekima hatumii matusi . Usiteseke na huduma za wengine -the world cant conform to your beliefs . Dunia ya leo pambana na uchoamini , ishi na misingi yako ukikomaa na judgement utateseka sana. Yani tuna safari ndefu kuanza kuwaza mavazi VS content . Pengine hata content zake huelewi . Peace!!Sasa watu kama kina Joyce Meyer wapo smart namna Gani, mtu anayefundisha tattoo sio dhambi, hivi watu mnasoma Biblia Gani, Au ni mwendo wa kwenda tu, mmekuwa nyumbu sio?
According to whose standards mkuu hebu tuelimisheGugu vizuri mkuu. Uvaaji wake ni utata tupu.
Yaani kuelekezwa kwenye misingi unajitetea nahukumu?Pambana kuweka misingi katika familia yako- na jibu hoja kwa hoja usitumie matusi nk ,jibu tu hoja kwa hoja- katu mwenye hekima hatumii matusi . Usiteseke na huduma za wengine -the world cant conform to your beliefs . Dunia ya leo pambana na uchoamini , ishi na misingi yako ukikomaa na judgement utateseka sana. Yani tuna safari ndefu kuanza kuwaza mavazi VS content . Pengine hata content zake huelewi . Peace!!
Its true you cant argue here, neither capable to do so- it needs a mature mind, an exposed demeanor and a wider perception to issues . Misingi ni yako- the world doesn't revolve around your beliefs and regulations- your interpretation of holy books are yours , stand on them , excel on them and let others do their deeds . Dress codes aren't a measure of ones faith and discipleship.Yaani kuelekezwa kwenye misingi unajitetea nahukumu?
I can't argue on such shit