Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Kwanini mkuuSema huyo Kapola kama atakuwa hajachakata Niffer nitamwona mpuuzi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuuSema huyo Kapola kama atakuwa hajachakata Niffer nitamwona mpuuzi sana.
Acha mzaha mkuu [emoji22][emoji848]Pale kisena hall Millenium towers kuna mmoja huwa anakanisa na ibada ni suku ya alhamis hao waumini ni 20- 32 yrs wanavaa uchi kabisaaa
Sijui aiseeKanisa lina partner? Hiyo 20M anatoa ya nini? Na vipini anauza vya nini
Mzaha upi mkuu.Acha mzaha mkuu [emoji22][emoji848]
hahaha wahuni huwa wanapenda kutafuta sababu za kuhalalisha uhuni wao ila sio kuacha uhuni mtu kama alikua na tattoo before au alikua katoboa masikio before sio issue issue ni kuendelea kuvaa hereni baada ya au kujidunga ma tatts baada yaSasa matendo huwa wanaondoa muonekano
Huyo manzi huwa anamtaja sana Kapola kwenye post zake. Anadai ni baba yake wa kirohoKwanini mkuu
Ni kweli lakini tunaacha kuhukumu tu mkuuhahaha wahuni huwa wanapenda kutafuta sababu za kuhalalisha uhuni wao ila sio kuacha uhuni mtu kama alikua na tattoo before au alikua katoboa masikio before sio issue issue ni kuendelea kuvaa hereni baada ya au kujidunga ma tatts baada ya
Ohhoooohhh kumber wale ni wateja wake pale ni biznes centre?? Nikajua ni waumini wali katik safar ya kwenda mbinguni??Wateja wake wakubwa ni wanawake
Inatakiwa avae kuwavutia..!🤸
Nimetumia misamiati isiyo sahihi samahani kwa wote!Ohhoooohhh kumber wale ni wateja wake pale ni biznes centre?? Nikajua ni waumini wali katik safar ya kwenda mbinguni??
Anakuvutia wewe sio vijana wote. Mimi ni kijana ila simkubali mavazi yake. Usitafute sababu ya kujustify uhuni.Nimetumia misamiati isiyo sahihi samahani kwa wote!
Kapola naona kajikita kwa waumini vijana, na ndio maana anavaa kama wao ili kuwavutia
Kwa mavazi yake ni ngumu kuwahubiria wazee na wakamuelewa..
Hata sisi vijana watu wazima hatuwez muelewa.Nimetumia misamiati isiyo sahihi samahani kwa wote!
Kapola naona kajikita kwa waumini vijana, na ndio maana anavaa kama wao ili kuwavutia
Kwa mavazi yake ni ngumu kuwahubiria wazee na wakamuelewa..
Sasa 50 unajiita kijana mtu mzima?Hata sisi vijana watu wazima hatuwez muelewa.
hao ni motivational speakers, sio wahubiri, ndio maana wasikilizaji wengi ni wanawake, wanacheka hadi jino la mwisho na wao wanajiona wanaongea vitu vya pointiiii. wala usiwaite wachungaji.Nilipohoji kuhusu uvaaji wa mchungaji Tony Kapola kuna watu hususan wanawake walinivaa kwa ukali kwamba nina wivu niwaachie mchungaji wao, kwamba uvaaji wake ni wa kawaida, kwamba uvaaji wa kisasa kwa Watumishi wa Mungu sio tatizo. Binafsi niwaambie UTUMISHI WA MUNGU ni mgumu na unahitaji usiriaz kuliko wengi mnavyofikiri, Yohana alijinyima hadi kuvaa magunia na kula nzige jangwani mnafikiri utumishi ni mwepesi?
Tunarahisisha mno utumishi wa Mungu miaka hii ndio maana wahubiri nao wanahubiri injili mpya nyepesi ya kisasa iliyopakwa maneno matamu ya miujiza, utajiri na mafanikio, hawaihubiri ile injili pure ya Ufalme wa Mungu, ile ya kukemea dhambi kwa ukali wake.
Ndio maana tunaskia Watumishi wengine wanasema hata dukani sigara weka biashara sio ibada, wengine wanasema ndoa sikuiz sio mwili mmoja, wengine wameenda mbali na kusema pesa za majini sio haramu. Utumishi wa Mungu umeonekana ni simple tu hadi kina Irene Uwoya wanataka kufungua makanisa sasa huku bado miili imejaa tattoo.
Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi anahitaji Watumishi VIELELEZO KWAO WAAMINIO. Katika uvaaji, unenaji, utendaji na mwenendo mzima wa maisha kwa ujumla
Kwa Mungu hakuna usasa, sheria zake ni zile zile WAACHE DHAMBI NA KUNIABUBU
Mahubiri ya utajiri, pesa, miujiza na mahusiano yasitutoe kwenye mstari, Mungu sio mrahisi kama tunavyoaminishwa na Watumishi hawa wa kisasa
Tunapaswa kusali kwa imani, kutubu, kufunga na kuomba, Tunapaswa kumuogopa Mungu na kumuabudu kweli. Tunapaswa kuyaheshimu madhabahu yake. Tunapaswa kutambua Mungu ni mtakatifu hadhihakiwi wala kuchanganywa na aina yoyote ya uchafu
Nawasilisha.
35 plzSasa 50 unajiita kijana mtu mzima?
Labda useme kijana wa zamani😂🤸
Wewe ukiwa na 35 mimi nitakua na 11 years🤸35 plz
ahahah then utageuka kuwa mwanangu, maana at this age my first born is 13 years in November na yuko sekondari tayarWewe ukiwa na 35 mimi nitakua na 11 years🤸