Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

Those are Charlatans, cult and babalawos, Sijui watu wanatokana wapi na makanisa na wachungaji wa namna hiyo.

Hakuna roho wa Mungu hapo ni utapeli, uzinzi na uchawi tuu. Hao wanao washabikia usasa na ujanna ni sawa na hao hao tuu wote ni makanjanja na wababaishaji wa Injili uvivu umewajaa wanataka kujipatia fedha kwa njia ya kupotosha neno la Mungu na kufanya utapeli.
 
Sasa matendo huwa wanaondoa muonekano
hahaha wahuni huwa wanapenda kutafuta sababu za kuhalalisha uhuni wao ila sio kuacha uhuni mtu kama alikua na tattoo before au alikua katoboa masikio before sio issue issue ni kuendelea kuvaa hereni baada ya au kujidunga ma tatts baada ya
 
hahaha wahuni huwa wanapenda kutafuta sababu za kuhalalisha uhuni wao ila sio kuacha uhuni mtu kama alikua na tattoo before au alikua katoboa masikio before sio issue issue ni kuendelea kuvaa hereni baada ya au kujidunga ma tatts baada ya
Ni kweli lakini tunaacha kuhukumu tu mkuu
 
Ohhoooohhh kumber wale ni wateja wake pale ni biznes centre?? Nikajua ni waumini wali katik safar ya kwenda mbinguni??
Nimetumia misamiati isiyo sahihi samahani kwa wote!

Kapola naona kajikita kwa waumini vijana, na ndio maana anavaa kama wao ili kuwavutia
Kwa mavazi yake ni ngumu kuwahubiria wazee na wakamuelewa..
 
Nimetumia misamiati isiyo sahihi samahani kwa wote!

Kapola naona kajikita kwa waumini vijana, na ndio maana anavaa kama wao ili kuwavutia
Kwa mavazi yake ni ngumu kuwahubiria wazee na wakamuelewa..
Anakuvutia wewe sio vijana wote. Mimi ni kijana ila simkubali mavazi yake. Usitafute sababu ya kujustify uhuni.
 
Nimetumia misamiati isiyo sahihi samahani kwa wote!

Kapola naona kajikita kwa waumini vijana, na ndio maana anavaa kama wao ili kuwavutia
Kwa mavazi yake ni ngumu kuwahubiria wazee na wakamuelewa..
Hata sisi vijana watu wazima hatuwez muelewa.
 
Nilipohoji kuhusu uvaaji wa mchungaji Tony Kapola kuna watu hususan wanawake walinivaa kwa ukali kwamba nina wivu niwaachie mchungaji wao, kwamba uvaaji wake ni wa kawaida, kwamba uvaaji wa kisasa kwa Watumishi wa Mungu sio tatizo. Binafsi niwaambie UTUMISHI WA MUNGU ni mgumu na unahitaji usiriaz kuliko wengi mnavyofikiri, Yohana alijinyima hadi kuvaa magunia na kula nzige jangwani mnafikiri utumishi ni mwepesi?

Tunarahisisha mno utumishi wa Mungu miaka hii ndio maana wahubiri nao wanahubiri injili mpya nyepesi ya kisasa iliyopakwa maneno matamu ya miujiza, utajiri na mafanikio, hawaihubiri ile injili pure ya Ufalme wa Mungu, ile ya kukemea dhambi kwa ukali wake.

Ndio maana tunaskia Watumishi wengine wanasema hata dukani sigara weka biashara sio ibada, wengine wanasema ndoa sikuiz sio mwili mmoja, wengine wameenda mbali na kusema pesa za majini sio haramu. Utumishi wa Mungu umeonekana ni simple tu hadi kina Irene Uwoya wanataka kufungua makanisa sasa huku bado miili imejaa tattoo.

Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi anahitaji Watumishi VIELELEZO KWAO WAAMINIO. Katika uvaaji, unenaji, utendaji na mwenendo mzima wa maisha kwa ujumla

Kwa Mungu hakuna usasa, sheria zake ni zile zile WAACHE DHAMBI NA KUNIABUBU

Mahubiri ya utajiri, pesa, miujiza na mahusiano yasitutoe kwenye mstari, Mungu sio mrahisi kama tunavyoaminishwa na Watumishi hawa wa kisasa

Tunapaswa kusali kwa imani, kutubu, kufunga na kuomba, Tunapaswa kumuogopa Mungu na kumuabudu kweli. Tunapaswa kuyaheshimu madhabahu yake. Tunapaswa kutambua Mungu ni mtakatifu hadhihakiwi wala kuchanganywa na aina yoyote ya uchafu

Nawasilisha.
hao ni motivational speakers, sio wahubiri, ndio maana wasikilizaji wengi ni wanawake, wanacheka hadi jino la mwisho na wao wanajiona wanaongea vitu vya pointiiii. wala usiwaite wachungaji.
 
Back
Top Bottom