matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Sahihi.Hakika hii ntaish nayo, Habar za kusema tabia sio mavazi mara Yesu anaangalia moyo ni Unafiki kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi.Hakika hii ntaish nayo, Habar za kusema tabia sio mavazi mara Yesu anaangalia moyo ni Unafiki kabisa.
Hilo jambo hatuwezi kuwa na uhakika nalo kwasababu hakuna uthibitishoAti mshamba_mwingine unaona kuna Pastor wa kukataa uchi hapo?
Naskia tshirt yake moja ni dollar 500
Uhakika gani mnautaka mkuu, mbona hamna imani kama Thomaso kweli nyie mnasubir Yesu kweli?Hilo jambo hatuwezi kuwa na uhakika nalo kwasababu hakuna uthibitisho
Ila linawezekana sana tu
Shit, ni sadaka ngapi hapo za Kapuku mpenda Kristo sawa na Bajeti yake ya Mwezi mzima?Naskia tshirt yake moja ni dollar 500
Ni yeye mwenyewe kaongea waziwazi😅😅😅.Shit, ni sadaka ngapi hapo za Kapuku mpenda Kristo sawa na Bajeti yake ya Mwezi mzima?
poaNitaweka subiri nifike nyumbani mkuu
Nina ndugu yangu mmoja ni partner wa kapola(partners ni watu wake wa karibu kabisa, wanatoa michango mikubwa mikubwa)Naskia tshirt yake moja ni dollar 500
Na wao hawahoji, hakika Wacha watu Wapigwe tu.Ni yeye mwenyewe kaongea waziwazi😅😅😅.
Acha tu watu wapigwe
DIni ni biashara.Nina ndugu yangu mmoja ni partner wa kapola(partners ni watu wake wa karibu kabisa, wanatoa michango mikubwa mikubwa)
Akaniambia kuna partner anatoa 20M kila mwezi
Kuna vipini vinauzwa kanisani kwake 100k unaviweka kwenye shati/koti
Ana huduma kubwa sana
Wameshapumbazwa akili wanaona sawa😅😅Na wao hawahoji, hakika Wacha watu Wapigwe tu.
Nitahudhuria nikaopoe manzi hapoPale kisena hall Millenium towers kuna mmoja huwa anakanisa na ibada ni suku ya alhamis hao waumini ni 20- 32 yrs wanavaa uchi kabisaaa
Lubega lilikuwa vazi la heshima nyakati zile. Hivyo na yeye avae mavazi ya heshima ya nyakati hizi.Mmekariri pastor lazima avae suti na tai acheni uzamani. Yesu alikuwa anavaa lugeba
Ni msiba.Tusi limewafika walengwa. Amen!