Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

Hii ni kanuni mkuu. Mindest iliyokusukuma kuvaa hivyo ndivyo ulivyo.

Mke wa Yuda alipotaka kunasa mwanaume alivyaa mavazi ambayo yalitafsiri nia yake na akamnasa kwa mavazi yale bahati mbaya akawa amelala na Baba mkwe wake.

Mambo ya imani huitaji ushabiki wala kutumia nguvu nyingi kuyachambua.
Hakika hii ntaish nayo, Habar za kusema tabia sio mavazi mara Yesu anaangalia moyo ni Unafiki kabisa.
 
Hua Na mashaka Nae ....mahubiri yake sanasana hua motivation speech Na watumishi matapelii hua wanakimbilia humo motivation speaking kuhusu kutajirika Bora mwamposa ye ameona asiwe mnafiki kanisani kwake hakuna mahubiri Ni maombezi Na sadaka......A true man of God Hua anapreach about kingdom of God Na habari za wokovu Na kuwaasa watu waache dhambi Na kutubu
 
Mavazi ni index ya tabia ya ndani.
Ukivaa kihuni maana yake kuna correlation kati ya uhuni na mavazi yako.

Hii ni universal principle sio kitu cha kujadili. Kuvaa ni tendo. Na Yesu anasema utawatambua kwa matendo yao.
Nakubaliana Na wewe....Kwa harakaharaka utagundua Tabia za mtu Kwa kumwangaliavazi yake Na maongezi yake
 
Nilipohoji kuhusu uvaaji wa mchungaji Tony Kapola kuna watu hususan wanawake walinivaa kwa ukali kwamba nina wivu niwaachie mchungaji wao, kwamba uvaaji wake ni wa kawaida, kwamba uvaaji wa kisasa kwa Watumishi wa Mungu sio tatizo. Binafsi niwaambie UTUMISHI WA MUNGU ni mgumu na unahitaji usiriaz kuliko wengi mnavyofikiri, Yohana alijinyima hadi kuvaa magunia na kula nzige jangwani mnafikiri utumishi ni mwepesi?

Tunarahisisha mno utumishi wa Mungu miaka hii ndio maana wahubiri nao wanahubiri injili mpya nyepesi ya kisasa iliyopakwa maneno matamu ya miujiza, utajiri na mafanikio, hawaihubiri ile injili pure ya Ufalme wa Mungu, ile ya kukemea dhambi kwa ukali wake.

Ndio maana tunaskia Watumishi wengine wanasema hata dukani sigara weka biashara sio ibada, wengine wanasema ndoa sikuiz sio mwili mmoja, wengine wameenda mbali na kusema pesa za majini sio haramu. Utumishi wa Mungu umeonekana ni simple tu hadi kina Irene Uwoya wanataka kufungua makanisa sasa huku bado miili imejaa tattoo.

Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi anahitaji Watumishi VIELELEZO KWAO WAAMINIO. Katika uvaaji, unenaji, utendaji na mwenendo mzima wa maisha kwa ujumla

Kwa Mungu hakuna usasa, sheria zake ni zile zile WAACHE DHAMBI NA KUNIABUBU

Mahubiri ya utajiri, pesa, miujiza na mahusiano yasitutoe kwenye mstari, Mungu sio mrahisi kama tunavyoaminishwa na Watumishi hawa wa kisasa

Tunapaswa kusali kwa imani, kutubu, kufunga na kuomba, Tunapaswa kumuogopa Mungu na kumuabudu kweli. Tunapaswa kuyaheshimu madhabahu yake. Tunapaswa kutambua Mungu ni mtakatifu hadhihakiwi wala kuchanganywa na aina yoyote ya uchafu

Nawasilisha.
weka picha yake mkuu
 
Hua Na mashaka Nae ....mahubiri yake sanasana hua motivation speech Na watumishi matapelii hua wanakimbilia humo motivation speaking kuhusu kutajirika Bora mwamposa ye ameona asiwe mnafiki kanisani kwake hakuna mahubiri Ni maombezi Na sadaka......A true man of God Hua anapreach about kingdom of God Na habari za wokovu Na kuwaasa watu waache dhambi Na kutubu
Hakika uko sahih, Haya makanisa ya Kina Tony, kina Mamposa na Wahuni wa aina yake ni kwajil ya Mafisadi, Wazinzi, Wachawi, Wajinga na Malaya.
 
Sijaelewa nani anatongozwa na nani anatongoza, Any way umethibitisha kuna Kugongana baina ya Wachungaji na Waumini.
Unaforce mawazo yako
Waumini baadhi wanamtongoza mchungaji lakini yeye anawakataa

Nimetumia lugha nyepesi usipoelewa basiiii
 
Unaforce mawazo yako
Waumini baadhi wanamtongoza mchungaji lakini yeye anawakataa

Nimetumia lugha nyepesi usipoelewa basiiii
Aaah ashazipiga sana wacha apumzike bila shaka anawakataa Wabovu wabovu, wakali anakula kimya kimya🤣
 
Back
Top Bottom