Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

Hakuna mchungaji pale, ni mganga njaa tu, Kawapata wajinga, anakula sadaka zao,
Utajiri,Mali, mahusiano, ni, Mambo yakaiwaida sana kuhubili, kenge yoyote aliyeishia LA saba akasoma vitqbu vya Joel nanauka, anaweza kuyahubilia,
Ni bora Uwe kqmq chawa Baba levo,nk, kullliko kujifanya mhubili,
Hii mbinu ya kuwa "pastor" Ni njia rais sana ya, kupigq pesa, lakini ni upuuzi, maana hqikuzi uchumi,
Kwa, wale wapenzi wa hawa "mapastor" Wa kizazi, kipya,fatilieni hawa vijana wawili, Vusi thembekwayo, kutoka South Africa, na mwingibe wa Waga technology, kutoka TZ, hawa ndio wnaleta tofauti na kuiweka bongo kwenye ramani ya dunia, sio hawa kenge ambao kiwanda Chao, ni mahubili!
 
Mavazi ni index ya tabia ya ndani.
Ukivaa kihuni maana yake kuna correlation kati ya uhuni na mavazi yako.

Hii ni universal principle sio kitu cha kujadili. Kuvaa ni tendo. Na Yesu anasema utawatambua kwa matendo yao.
 
Hawa watu wanaaibisha kazi ya uchungaji, lazima viwango vya elimu na afya ya akili viwekwe
 
Tusaidie picha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…