Mavazi ya Salma Msangi akiwa kazini jana hayafai

Mavazi ya Salma Msangi akiwa kazini jana hayafai

Status
Not open for further replies.
Rais wako ndo anapenda hayo mambo alafu we unapiga kelele huku, hata hivyo mbona alivaa vizuri tu kulinganisha na mabibi zetu huko zamani waliokuwa wanaacha karibia mwili mzima wazi.

Dah.........
 
eti kimora lee nicheke kwa sauti nzito ya kibaba
 
Samahani dada, hivyo viatu vinamtosha? Na hii kitu naonaga hata kwa models wa majuu, sipendi kweli!
20130121-143518.jpg
 
Alikuwa anatangaza kipindi cha dini? Usiunganishe frustration zako za maisha na tv, kama una mwamba tatua tatizo lako usikasirikie wengine. Huyu hata atangaze bila vazi kabisa babangu Mtambuzi wala hastuki
 
Last edited by a moderator:
Alikuwa anatangaza kipindi cha dini? Usiunganishe frustration zako za maisha na tv, kama una mwamba tatua tatizo lako usikasirikie wengine. Huyu hata atangaze bila vazi kabisa babangu Mtambuzi wala hastuki
Na hiyo picha ze shuzi ulimuazima wewe???!!!!

Halafu hivi wewe, au basi tu!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha, yaani maisha haya! Wakati wengine tunahangaika na gym, wengine wako kama bi mkora. Huyu hata nikimkuta na paw nawaachia round mbili za bia natangulia home.
Unajua katuni ya bi Mkora???!!!

afu mbona mgomvi sana wewe siku hizi? Ntakusemelezea ujue! Hivyo viatu atakuwa kachukua dukani kwa Kongosho. Na alipotoka hapo vilifutwa vikarudishwa
Na hiyo picha ze shuzi ulimuazima wewe???!!!!

Halafu hivi wewe, au basi tu!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha, yaani maisha haya! Wakati wengine tunahangaika na gym, wengine wako kama bi mkora. Huyu hata nikimkuta na paw nawaachia round mbili za bia natangulia home.

afu mbona mgomvi sana wewe siku hizi? Ntakusemelezea ujue! Hivyo viatu atakuwa kachukua dukani kwa Kongosho. Na alipotoka hapo vilifutwa vikarudishwa
Ha ha haaaa wala sio mgomvi ni vile tu nimekumbuka!!!!!!

Mambo ya fwasheni hayo, we bakia na maneno Maasai mmoja wewe!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kumbe naye usafiri kausahau home kama jirani zake pale mlimani?

Kha!!!! Muguu umekauka kama mbao za 2by2. Loh maumbile mengine yakufichia kwenye madira amekauka: kama anakunywa JIK
 
tuwekee picha ya kivazi. otherwise sioni tatizo
 
mambo ya kutembea kama miguu imekatika center bolt nani anataka? katambuga ndo mpango mzima sasa, utakoma mwenyewe
Ha ha haaaa wala sio mgomvi ni vile tu nimekumbuka!!!!!!

Mambo ya fwasheni hayo, we bakia na maneno Maasai mmoja wewe!!!!!
 
mambo ya kutembea kama miguu imekatika center bolt nani anataka? katambuga ndo mpango mzima sasa, utakoma mwenyewe

Ha ha aaa siku hizi huku uswazi wa hivyo wanaitwa ndama......hope unajua ndama anavyotembea ukimuangalia kwa nyuma!!!!!!!

Hiyo bold we umeijulia wapi!!!!!!!!???????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom