Mavazi ya vijana wengi inabidi uangalie kifua ndio ujue jinsia yake

Mavazi ya vijana wengi inabidi uangalie kifua ndio ujue jinsia yake

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kuna mabadiliko makubwa sana ya kasi katika tasnia ya mavazi hasa kwa mabrazameni na wadada wa kisasa.

Mavazi yanafanana kwa ukaribu sana kiasi kwamba inanipa tabu kujua jinsia hadi niangalie kifua kama anamaziwa au hana.

Vijana mjitahidi kupunguza kuigana wadada na wakaka. Mnasababisha mtanziko wa jinsia.

Niko natembea hapa mitaa flani, nikaona kijana amevaa nguo za kubanabana imebidi niongeze spidi ili nithibitishe jinsia kuja kumuangalia kumbe ni Dume.

Wakuu tuwasaidie hawa vijana, MZungu sio mtu mzuri anaweza kupindua matokeo muda wowote ukashangaa vijana wanaanza kuwakiana tamaa za kiLGBTQ.

Vaeni suti na mavazi ya maana ya kianaume.

Yangu ni hayo.
 
Hili ni kweli! Mara nyingi sana sana imenipa shida sana kutambua
 
Siku moja niliwahi kanisani, sina uongozi huko nikawa napanga watu wakae kulingana na jinsia zao kama ulivyo utaratibu wa kukaa wa kanisa hilo. Akaingia kijana mmoja akakaa upande wa wanaume, nikamuambia upande huu hawakai wanawake nenda kakae kwa wanawake wenzio, kumbe alikua mwanaume mimi sikujua kama yeye ni mwanaume kwa jinsi alivyovaa na mwonokano wake usoni vilinitatanisha nikajua ni mwanamke
 
Suruali jeans sjui wenyw wanakuambia modo 😂

Ova
 
Hata mimi imenitokea mara nyingi sana najua ni pisi kali english figure kusogea unakuta dume wakati alikua anatikisa kabisa
 
Hata mimi imenitokea mara nyingi sana najua ni pisi kali english figure kusogea unakuta dume wakati alikua anatikisa kabisa
hahaha. vijana wanapelekwa spidi hawapati muda wa kujitathmini
 
Oyaaaaa, vijana mmeambiwa mvae Suti

Mimi nasisitiza hapa koti la suti lifanane na la Feisali Toto
suti mkuu.

mimi mwenyewe ni suti na kaunda suti za kikachero kwenye mizunguko rasmi na isiyo rasmi napiga nusu suti.

kuvaa vinguo vya kijinga na kunyoa hovyohovyo eti kisa media zimeniosha ubongo (Brainwashing) nilishaacha huo ujinga.

hahaha

sio zile za kijinga ambazo huvai soksi utadhani unavuka mto
 
suti mkuu.

mimi mwenyewe ni suti na kaunda suti za kikachero kwenye mizunguko rasmi na isiyo rasmi napiga nusu suti.

kuvaa vinguo vya kijinga na kunyoa hovyohovyo eti kisa media zimeniosha ubongo (Brainwashing) nilishaacha huo ujinga.

hahaha

sio zile za kijinga ambazo huvai soksi utadhani unavuka mto
Sasa mkuu hapa kuna walakini. Kuna nguo itabidi mtu uvae ili uendane na kazi unayofanya, au hata maeneo unakotembelea.
Imagine una miaka 25, ukalamba suti ya feisali af unaenda club...

Au mawazo yangu pia yanatoka kwenye washed brain af cjui[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tupia picha mkuu nikuelewe vizuri. By the way ulimbukeni unawakumbwa vijana wengi. Sasa we unategemea nini kama dogo (kijana wa kiume) anavaa mavazi yake na anatoka kwenye chumba chake mama na baba yake wanakaa kimya na kuona sawa tu.

Ikifika weekend akiwahi kwenye kamba ya kuanikia nguo anatungua suruali ya jinsi ya dada yake na kuivaa kisha huyo safari. Dada naye anakenua tu na kuona poa, inafika steji dada anaanza kumfanyia mpango mdogo wake apate girlfriend ambao ni rafiki zake.

Uanaume unapotea kabisa, yaani mambo yako ivi kuna vijana wa kiume wengi na wanaume wachache sana (0.0001%)
 
Kipindi nikiwa chuo nlisha msimamisha boy nkijua nidem
 
Na hutu tumavazi twao na watoto wa kiume walivyokuwa soft siku hizi aiseee unaweza jikuta unawaza vingine sababu ya mfadhaiko.
 
Back
Top Bottom