Mavazi ya vijana wengi inabidi uangalie kifua ndio ujue jinsia yake

Mavazi ya vijana wengi inabidi uangalie kifua ndio ujue jinsia yake

Siku moja niliwahi kanisani, sina uongozi huko nikawa napanga watu wakae kulingana na jinsia zao kama ulivyo utaratibu wa kukaa wa kanisa hilo. Akaingia kijana mmoja akakaa upande wa wanaume, nikamuambia upande huu hawakai wanawake nenda kakae kwa wanawake wenzio, kumbe alikua mwanaume mimi sikujua kama yeye ni mwanaume kwa jinsi alivyovaa na mwonokano wake usoni vilinitatanisha nikajua ni mwanamke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata mimi imenitokea mara nyingi sana najua ni pisi kali english figure kusogea unakuta dume wakati alikua anatikisa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tupia picha mkuu nikuelewe vizuri. By the way ulimbukeni unawakumbwa vijana wengi. Sasa we unategemea nini kama dogo (kijana wa kiume) anavaa mavazi yake na anatoka kwenye chumba chake mama na baba yake wanakaa kimya na kuona sawa tu.

Ikifika weekend akiwahi kwenye kamba ya kuanikia nguo anatungua suruali ya jinsi ya dada yake na kuivaa kisha huyo safari. Dada naye anakenua tu na kuona poa, inafika steji dada anaanza kumfanyia mpango mdogo wake apate girlfriend ambao ni rafiki zake.

Uanaume unapotea kabisa, yaani mambo yako ivi kuna vijana wa kiume wengi na wanaume wachache sana (0.0001%)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom